TEEN TZ

Dogo Janja kurudishwa kijijini na TipTop, unanini cha kusema kuusina na ishu nzima..

Tags: Dogo, Janja, TipTop, kijijini, kurudishwa, na

Views: 1322

Reply to This

Replies to This Discussion

Dah!!wamsamehee tu,yule bado mtoto na kama inavyojulikana alipotokea,so ulimbukeni flan lazima uwepo...its yo bwoy BRUNO thE bIg BOsS
Duuuuh au wamemchoka du dogo ilo lilikua swala la kurekebishana but ndo fundisho kwa madogo wasome hio fani mizinguo

Well ..nachoweza sema dogo ni qwere but naweza kusema amepoteza bahati ya kuaa pale

MADEE anatakiwa kujua kua yule ni mtoto so asi-deal na mtoto kama anadeal na mtu mzima na ndo tatizo lake lilipoanzia...Madee mwenyewe anahitaji mafunzo ya malezi ya mtoto kabala hajafanya kazi na mtoto..DOGO janja bado ni mtoto kama walivyowatoto wengine, anahitaji malezi na sio kipigo, vitisho na lawama ama kumuanika kwa media kua ni mbaya...MADEE NEEDS TO BE TRAINED ON HOW TAKE CARE OF A CHILD..NOT ONLY BUSINESS AND PROFIT ORIENTATION...

Dah 2 me ime ni gusa bhana yule bado ni mtoto

kama vp madee a tink twic jaman....'kwa alicho fanya

2 dogo....dats ol

Ujue nn wameona ameshaanza kufulia na Kundi Halina Pesa ndo wameona wamwazilishe kiasi hicho dogo akasome 2 elimu ndo way 2 success sanaa kibongo bongo inazingua unapoteza mda 2 akasome inshort madee amemchoka wote ni binaadam 2namakosa bhana

Inasikitisha sana, tulijua kuwa hatofika kokote maana alishapata umaarufu na pia alishaanza kushika hela, hilo ndilo tatizo la wabongo wengi sifa na mafanikio kidg huwa tunajisahau. Ila kama tip top walidhamilia kubadili maisha yake inapaswa wamsamehe na naamini kutenda kosa si kosa, kosa ni kurudia kosa wampe nafasi ya pili ili amelize japo shule. Ni hayoo tuuuuuuuuuuu!

Madee kima tu!...alivyomfanyia dogo sio fresh!

Actually!...ukweli wa mambo yote wanayajua wao wenyewe dat's Y kila mmoja akaamua kuchukua uwamuzi ambao wanahisi ndio sahihi coz wote kwa wakati wao wanapohojiwa wanatoa mkasa wa kwanini imekua vile so mi nafkiri ni safi tu
u knw madee alichofanya sio pouwa.alimchukua ili amtoe kimzik na sio kumnyonya.mi najua dogo atatoka kwa njia njingne mungu yupo na yeye

its not fair kwakwel hata km kakosea sio kumtimua kivile

wlcm janja

Reply to Discussion

RSS

G5 CLICK - LATEST NEWS

NISHA ADAIWA KUWATOSA WATOTO YATIMA

Na Chande Abdallah
MSANII wa maigizo, Salma Jabu ‘Nisha,’ amedaiwa kuwatosa watoto yatima waliokuwa wakimsubiri baada ya kuweka ahadi kuwa angekwenda kuwatembelea na kuwapa msaada.…

Advertisement


 

© 2013   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service