TEEN TZ

Information

Jahazi

Jahazi show from 4pm to 7pm on CLOUDS FM

Website: http://www.teentz.com
Location: Mikocheni Dar es salaam
Members: 318
Latest Activity: Apr 17

Discussion Forum

hollywood walk of fame

Started by amsi pauline charles nyambuche Oct 16, 2011. 0 Replies

pls kayanda try to google about hollywood walk of fame afu utupe categories zinazoweza kumfanya mtu akapata star yake kwenye hollywood walk of fame

AJALI ZNZ

Started by victor anderson Sep 12, 2011. 0 Replies

Eti uchunguzi unafanyika wa ajali ya MV SPICE wa nini???? au serikali inataka kutuchuza???? Au source haijulikani??????

UNAAMINI LA KUAMBIWA? KAMA HAUTA AMINI NJOO UJIONEE AU ULIZA UAMBIWE

Started by COSSI Mar 1, 2011. 0 Replies

  Kuna maajabu yanayotokea Arusha,kama sio maajabu basi hii miujiza.Kuna Mwinjilisti mmoja mstaafu huku kwenye pori la Serengeti ama kwa jina lingine,Loliondo anatibu watu magonjwa sugu au yaliyo…

MABOMU GONGOLAMBOTO

Started by Michael Francis Nyenza Feb 18, 2011. 0 Replies

Kaka Kibonde shikamoo, maafa haya ya mabomu yanatuumiza ni sababu ya usembe si mara ya kwanza kutokea. Ni vema Waziri wa ulinzi awajibike pamoja na viongozi wanaohusika JWTZ

Tags: Mabomu

Comment Wall

Comment

You need to be a member of Jahazi to add comments!

Comment by shabani juma on January 30, 2013 at 5:18pm

kibonde,wasiwasi na ndugu yangu anord kayanda mmetisha mbaya endeleeni kukamua ila msitumie hirizi

Comment by wedasia k molla on November 5, 2012 at 9:40am

salamwalek woooooooooooooooooooooooote wapo studio

Comment by Hamisi A Kassim on October 21, 2012 at 9:07am
Kibonde kaka tufanyieni mipango nas WANGONI,WATENDEULE na WANYASA tuweze kupata hzo habari na kusilizi kinavyotokea
Comment by khanipha adnan ally on October 2, 2012 at 1:59pm

jmn

Comment by Abdul Atham Zulu on September 28, 2012 at 4:52pm
Mb0na dizaini kama dingi mzazi ni mkali kulik0 hata wajina.?Dingi katishaje,,nime-mind sana baada ya kustukia kuwa daddy sing 4 me..!
Comment by Silvester Hiza on August 25, 2012 at 12:50pm

usiamini kwa ya yule aliyekariri

Comment by Gideon Alex Haule on August 20, 2012 at 2:58pm

IDDI MUBARAKA NDUGU ZANGU

Comment by danis pastory tarimo on August 5, 2012 at 12:07pm

watanzania tunaangaikia mitaji mmm mitaji tunayo sema awajui ngoja niwaambie (MTAJI NI AFYA YAKO  TUNZA UONE MBELE YA MAISHA)

Comment by Gift Gyft R on July 20, 2012 at 2:27am

Kama wewe ni mzalendo utakuwa unapenda vya nyumbani lakin iweje unatumia vya njee then unajiita mzalendoo enbu ona jee na nyumbani tunaweza kutengeneza vyetu http://uwezo.ourtoolbar.com/welcome/ baada ya kuicheki embu toa maoni yako kwa kuniinbox wap pabadilishwe na ninni kifanyike mjulishe na mwenziko

Comment by Adolph Lugeye on July 19, 2012 at 10:24am

kayandaunafaa sana  kwa utangazaji uko balance sana  keep it up!!

 

Members (315)

 
 
 

G5 CLICK - LATEST NEWS

Video za utengenezaji wa video ya mwisho aliyoonekana Marehemu Ngwea South Africa.

Hiphop staa wa Tanzania Albert Mangweha alifariki dunia akiwa Afrika Kusini May 28 2013 ambapo mpaka sasa chanzo cha kifo chake hakijajulikana na siku…


TOP PHOTOS

1. 4.u

Added by Rita on June 16, 2012

2. Vennessa1

Added by Bestizzo Blogger on June 17, 2013

3. Wema Sepetu 1

Added by Bestizzo Blogger on June 16, 2013

 

© 2013   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service