
KILI MUSIC AWARDS has not received any gifts yet
Christophher Martin left a comment for KILI MUSIC AWARDS
Christophher Martin left a comment for KILI MUSIC AWARDS
mshefa left a comment for KILI MUSIC AWARDS
MARGARETH MONJESA replied to KILI MUSIC AWARDS's discussion TOA MAONI KUHUSIANA NA KILI MUSIC AWARDS 2012Started this discussion. Last reply by MARGARETH MONJESA Apr 18, 2012. 30 Replies 6 Likes
Wadau toeni maoni yenu kuhusiana na Kili music awards ya mwaka huu......
Posted on February 13, 2012 at 12:52pm 2 Comments 3 Likes
Mratibu wa tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards ambaye pia ni mwakilishi wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA),Angelo Luhala (katikati) akionyesha karatasi yenye majina ya washiriki wanaowania tuzo hizo leo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Meneja wa Bia ya Kilimanjaro,George Kavishe na Kulia ni Afisa kutoka Kampuni ya Innovex ambao ndio wanaoandaa majina hayo ya…

Christophher Martin said… MSNII DAIMOD HKUPEWA TUNZO ZOTE HIZO
Christophher Martin said… KIUKWELI SIBARIKI HATAKIWA NYIMBO ZAINJILI KUPEWA TUZO HIYP KWANI TUZOHIYO IMEDHAMINIWA NAPOMBE
mshefa said… KWANI KILL WASIAZISHE NA ZAWADI ZA DIRECTOR BORA ITAKUWA INAPENDEZA SANA HAYO NDIO MAONI YANGU KUHUSIANA NA KILL MUSIC AWARDS 2012
thebase bigcrock said… MWANA PANDE ZA PRODUZA BORA NI MACO CHIZI MWANA PAMOKO SANA PANDE ZA TARIME NDOO NAACHIA DOLE LANGU
emirux madaha said…
Godfrey said… Tuzo zipo pwaaa sema siku nyingine zifanyike mikoa tofauti na Dar.
Gibson Two-Gun said…
Gwamaka Mwakyami said… Kimsingi tuzo zenu ziko poa. lakini mpak uwe nominize ni kigezo gani kinacho zingatiwa au ni bahati ya mtu tu.
William Kahabi said… itakua poa nkiona hawa wakiibuka na tuzo 1st fid Q,Darasa,Dayna &jay moo wameefanya kazi poa kwenye game
SEKIETE SADDY MNDEME said… toeni haki kwa washiriki
© 2013 Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.