
Lil Wayne hajawahi kusikiliza Album ya Drake wala Nicky Minaj

Added by Teen Newz on March 30, 2011 at 3:30pm — 15 Comments
Je Ni kweli kwamba Joh Makini amecopy ngoma yake Kilimanjaro kutoka kwenye ngoma hii

Added by Teen Newz on March 30, 2011 at 3:00pm — 23 Comments
Nguzo ya Hip Hop kundi la X-Plastaz iliodondoshwa na Kisu
Jumatatu ya 27 March Mwaka 2006 Fans wa Swahili Hip hop World wide dunia nzima walikua na simanzi kutokana na Taarifa za kifo cha Nelson Chrizostom Rutta/maarufu kama Faza Nelly ambae alikufa kutokana na Majeraha ya kuchomwa na Kisu mara tisa na Jirani yake akijulikana na kama Moses Yohana Kilevo, Baadhi ya watu…

Added by Teen Newz on March 29, 2011 at 5:00pm — 13 Comments
Ricky Ross chini ya ulinzi kwa kukamatwa na ganja Hotelini
Je una habari kama mtu mzima Ricky ross aliwekwa chini ya ulinzi wa police juzi kati alipokua anaendelea na tour yake inayojulikana kama “I am Music II”….hii nibaada ya kubainika kua rapper Ricky ross na washkaji zake walikua wanapuliza kitu cha kush kwenye hotel ambayo wamefikia na baada ya police kufatilia vizuri… 
Added by Teen Newz on March 29, 2011 at 3:30pm — 4 Comments
Video: Diddy-Dirty Money f/ Trey Songz & Rick Ross – ‘Your Love (Remix)’

Added by Teen Newz on March 29, 2011 at 3:00pm — No Comments
Lil Wayne anataka kuingiza Billion 75 mwaka huu
Baada ya kushika namba 74 katika forbes list ya 2010 The best rapper alive kutoka Young oney Cash money muite Lil wayne a.k.a weezy amefunguka kua ana plan za kufanya Young Money kua Big money…..hii ni baada ya kueka wazi kua anataka kua mwaka huu anataka kuingiza dollar million 50 ambazo ni sawa sawa na Billion 75 za… 
Added by Teen Newz on March 29, 2011 at 3:00pm — 5 Comments
New Music: Swizz Beatz f/ Eve – ‘Everyday (Coolin’)’
Ben Pol awashukuru mashabiki wake kwa tunzo aliyoipata kwenye Kili Music Awards 2011
Added by Teen Newz on March 28, 2011 at 4:00pm — 6 Comments
Hali ya Young Back inazidi kuwa mbaya...
Hali ya Young Back ni mbaya…, Ila kundi lake la zamani, yani G-unit linazidi kufanya hali yake iwe mbaya zaidi.., Siku chache zilizopita uongozi wa label ya G-unit umemfungulia Young Back kesi ya madai mahakami , Label ya G-Unit imetangaza kuwa inamdai Young Back billion 15 za kibongo kwasababu…

Added by Teen Newz on March 24, 2011 at 4:00pm — 9 Comments
Master P na Gucci mane wanakuja na movie inaitwa "GET MONEY"
Master P is Back again….!! ila sasa hivi karudi kitofauti.., Ni kupitia movie yake mpya ambayo yupo na mtu mzima Gucci mane..! Hiyo movie inaitwa “Get Money” …, Humo ndani Master P anaitwa “Monster” na Gucci mane anaitwa “Big G”…Kwenye movie jamaa wanahustler mwanzo mwisho., mwisho…

Added by Teen Newz on March 24, 2011 at 3:40pm — 8 Comments
Trailer la Movie Mpya ya 50 Cent na Bruce Willis inayoitwa‘Setup’

Added by Teen Newz on March 24, 2011 at 3:30pm — 6 Comments
Tunapeta - Young Dee -ft Mataluma, Kitokololo & ChekeDaa

Added by Teen Newz on March 24, 2011 at 3:00pm — 4 Comments
New Music: Lil Wayne f/ Rick Ross – ‘If I Die Today’


Added by Teen Newz on March 24, 2011 at 3:00pm — 11 Comments
Snoop Dogg akutana na mama yake Wiz Khalifa

Added by Teen Newz on March 23, 2011 at 3:30pm — 9 Comments
Chris Brown apiga bonge la show ndani ya 106 & Park akiwa na Busta Rymes,Bow wow na Tyga

Clouds TV na Red capet siku ya Kilimanjaro music Awards
Antonio Nuga’s (Mtembezi) na Zamaradi Mketema kufanya Exclusive ya red capet pale Diamond Jubilee siku ya tuzo za kili jumamosi hii Kwa mujibu wa Antonio Nuga’s na zamaradi mketema hii ni kwa kuwapa madesigners nafasi ya kuonesha walichonacho kiubunifu na kwa kutazama utamaduni huu wa red capet kwa Tanzania na… 
Added by Teen Newz on March 23, 2011 at 2:00pm — 16 Comments
BREAKING NEWZ: Five Star Modern Taarab wamepata ajali na tour bus, watu zaidi ya watano wamefariki
BREAKING NEWZ: Five Star Modern Taarab wamepata ajari na tour basi maeneo ya Mikumi leo usiku (3/21/2011), kwa taarifa mbazo Teentz imepata ni kuwa watu…

Added by Teen Newz on March 21, 2011 at 10:30pm — 101 Comments
Wiz Khalifa afunguka kuhusu kujichafua mwili mzima na Tattoo

Added by Teen Newz on March 21, 2011 at 3:00pm — 24 Comments
Wyclef Jean apigwa risasi ya mkono
Mwanamuziki na mwanasiasa ambae anagombania kiti cha uraisi Haiti hapa namzungumzia Wyclef Jean…Ameshatoka Hospitali baada ya Kupigwa risasi ya mkono jana huko Haiti tukio lililo mfanya mtu mzima kukimbizwa hospitalini kwa matibabu ya haraka zaidi huku mzungumzaji wake akidai kua “anaamini hizo ni njama za chama pinzani… 
Added by Teen Newz on March 21, 2011 at 3:00pm — 7 Comments
© 2013 Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.