TEEN TZ

Featured Blog Posts – April 2011 Archive (36)

MCHAKATO WA SERENGETI FIESTA FREESTYLE UNAENDELEA NDANI YA CLUB VIBE JIJINI MBEYA.



Vijana wamejitokeza kwa wingi katika mchakato wa Serengeti Fiesta Freestyle ili kuonyesha vipaji vyao na akipatokana mshindi atajinyakulia mizawadi kibao. Zoezi hili linaendesha kwa siku mbili ndani ya Vibe Club jijini Mbeya ambapo leo tar.30 na kesho Mei Mosi na watangazi wa Clouds Fm 88.4 Ruben Ndege, Dj Fetty pia…

Added by Teen Newz on April 30, 2011 at 3:30pm — 2 Comments

MAMBO YANAZIDI KUWA MAMBO SERENGETI FIESTA FILAMU VIPAJI LUKUKI

Ukweli nikua watu ni wengi Arusha vipaji lukuki tulitarajia kazi ya kusaka vipaji hivyo ilitarajiwa kumalizika saa nane lakini kutokana na wingi wa washiriki imebidi zoezi hilo liendelee tu mpaka mpaka litakapomalizika watu ni wengi sana wamejitokeza kushiriki huku ma judge wakiwa ni Zamaradi Mketema kutoka kipindi cha…

Added by Teen Newz on April 30, 2011 at 3:00pm — 4 Comments

LULU, SALAMA JABIR WABAMBWA

MASTAA wawili wanaotamba katika nyanja tofauti, Salama Jabir na Elizabeth Michael ‘Lulu’ (pichani) wamebambwa ndani ya New Maisha Club, Msasani jijini Dar es Salaam wakifanya mambo ya ajabu, Gazeti la Risasi Jumatano linakudondoshea moja moja.



Mastaa hao wenye majina makubwa, walikuwa wamekaa katika meza moja…

Added by Teen Newz on April 29, 2011 at 2:00pm — 75 Comments

Mexicana Lacavela - Kamba 2 Kamba

Added by Teen Newz on April 28, 2011 at 3:30pm — 10 Comments

Barnaba - Milele Daima

Added by Teen Newz on April 28, 2011 at 2:30pm — 8 Comments

Kumbe Avril ni msagaji

Imebainika kua Msanii mrembo kutoka Ogopa DJ stable ya kenya anaejulikana kama Avril ambae jina lake la ukweli ni Judith Nyambura Mwangi ni msagaji baada ya picha zake kutoka kwenye mitandao ambazo zinamuonesha mwanadada huyo akiwa anafanya mambo flani na mwanamke mwenzake...Avril ni msanii ambae ameshawahi kushirikishwa…

Added by Teen Newz on April 27, 2011 at 2:30pm — 55 Comments

EXCLUSIVE INTERVIEW WITH WEMA SEPETU KUHUSU UHUSIANO WAKE NA DIAMOND....

Hiyo ilikuwa ni interview ambayo niliifanya kupitia TAKE ONE ya CLOUDS TV ambayo huwa kila JUMANNE saa TATU kamili Usiku na MARUDIO ni Jumatano saa NNE na dakika tano…

Added by Teen Newz on April 20, 2011 at 3:00pm — 24 Comments

JIACHIE NA COCA COLA CONCERT

Added by Teen Newz on April 19, 2011 at 1:22pm — 10 Comments

Birdman aiponda Forbes List nakudai yeye ana zaidi ya Dollar million 100

Kingekuwa kitu cha kushangaza sana kama huu mwaka ungeisha bila CMB BABY BIRDMAN kuongelea ishu ya kuwekwa namba 5 kwenye list ya Forbes kama msanii wa hiphop aliyetengeneza mshiko mrefu mwaka 2010 iliyotoka mwezi wa tatu mwaka huu wa 2011 Baby kafunguka na kuwapaka Forbes kwenye interview aliyofanya na TV flani hivi uko mbele mbele wiki iliyopita…, Akiwaambia kuwa “Hizo billion 150 mlizoniekea kwenye list ni pesa ndogo sana kwa mtu kama mimi, kawaida huwa…

Added by Teen Newz on April 18, 2011 at 3:00pm — 64 Comments

Beezy - Recognize me (Official Video)

Added by Teen Newz on April 18, 2011 at 11:30am — 6 Comments

Unapata Mambo- Kevin Pam feat Lizzy & Stitched

Added by Teen Newz on April 15, 2011 at 3:48pm — 2 Comments

SHARO MILIONEA AZOMEWA



The Comedian Superstar Bongo, Hussein Mkiety, ‘Sharo Milionea’ ameonja joto ya jiwe baada ya kuzomewa na watoto wadogo alipokwenda katika maeneo yao ya kujidai. Muziki mzima unashushwa na Sharo Milionea mwenyewe, ambaye anaeleza kwamba wikiendi iliyopita alijongea kwenye kituo cha michezo ya watoto cha Funny City kilichopo Kigamboni, jijini Dar es Salaam alipokutana na kadhia hiyo............

“Ebwana mtu mzima watoto noma, wamenitoa nishai wazi wazi. Unajua mimi nilienda…

Added by Teen Newz on April 15, 2011 at 12:00pm — 23 Comments

STORY KITAA CHA MBELE: 50cent na Rick ross kupatana & Album ya Dre DETOX kutemwa na wasimamizi wake



Leo Teentz inastory za kitaa, Yani azijasibitishwa, Ya kwanza ni kuwa Rick ross na 50cent wapo kwenye mchakato au maongezi ya kupatana…, mpango mzima unasimamiwa na Russell Simmons ambaye ni Legend kwenye mziki wa Hiphop. Ila watu wengi…

Added by Teen Newz on April 14, 2011 at 4:00pm — 22 Comments

NGOMA MPYA: Young Jeezy f/ Lil Wayne – ‘Ballin” (Album sokoni isipouza nainunua mwenyewe)

Leo dani ya Teentz.com kuna mzigo mpya kutoka kwa Young Jeezy akiwa na Lil wayne unaoitwa “BALLIN”… Humo ndani Jeezy na Wayne wanaongelea wale watu ambao wakipata kidogo wanaanza kulinganisha stunts zao na za kwao…, Wametumia hii ngoma kuwaelezea jinsi wao wanavyo-stunt kwenye maisha yao ya kila siku..! Young Jezzy…

Added by Teen Newz on April 14, 2011 at 3:30pm — 16 Comments

Msanii wa kizazi kipya Baby Madaha aliekiri kwenda Loliondo amejitupia kwenye Bongo Movie

Msanii pekee wa Bongo flava aliyewahi kukiri kuwa amepiga Kikombe cha Babu Loliondo Baby Madaha, baada ya kuikaushia kwa muda mrefu Game ya Bongo Flava na Kujikita Kwenye Industry Bongo Movie Amefanikiwa kutoa Movie inaitwa Desperado, na hivi karibuni ili kuipromote movie hiyo sokoni, tuanfahamu kabisa ukali wa…

Added by Teen Newz on April 13, 2011 at 5:00pm — 13 Comments

Je ni kweli kua 50cent na Ciara wana Sex Tape?

Baada ya uvumi uliosemekana na kuja kua kweli kua Ray J na Kim Kardashian wana na Sex Tape na hatimae ikaja kutoka kweli na kusambaa all over the world….sasa sasahivi umezuka Uvumi mpyaaaa kua kiongozi wa kundi la G.Unit yani 50cent nae ana sex tape ambayo inamuonesha akiwa na mwanadada ambae ilishawahi kusemekana kua…

Added by Teen Newz on April 13, 2011 at 3:30pm — 17 Comments

Lil Wayne anatoka na jimama mwenye miaka 40

Uvumi uliokua kitaa ni kua The Best Rapper Alive ambae ni kiongozi wa kundi la YMCMB “Young Money Cash Money Brothers” namzungumzia Lil Wayne eti ana demu mpya! Ila utata unakuja kwamba inavyosemekana demu mwenyewe eti amempita miaka zaidi ya 22 yani anatoka na demu mwenye miaka 40 huku yeye akiwa anamiaka 28 na uvumi…

Added by Teen Newz on April 13, 2011 at 3:00pm — 11 Comments

Keri Hilson ajianika na vazi lake la kuzaliwa kwenye Allure Magazine

Inavyoelekea kwa huko nchi za wenzetu mtu maarufu akiwa amevaa vazi lake lakuzaliwa kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti ndo linauza nini?…navyosema vazi la kuzaliwa namaanisha mtu akiwa yupo kama alivyozaliwa yani bila nguo kabisaaaaa..……sasa hapa ni katika matoleo mawili ya magazeti maarufu duniani nazungumzia…

Added by Teen Newz on April 13, 2011 at 2:00pm — 20 Comments

Giddy Ft Godzila & YOUNG D - One Minute

Added by Teen Newz on April 12, 2011 at 4:30pm — 5 Comments

© 2013   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service