
LIL MAESTRO .........da king teen chat
Added by LIL MAESTRO on May 31, 2011 at 3:41pm — 1 Comment
SEAN KINGSTON APATA NAFUU....!
Hali ya Artist Sean Kingston inaendelea poa kwenye hospitali aliyolazwa Jackson Ryder Trauma Center mjini Miami,baada ya kupata ajali wakati akiendesha pikipiki za kwenye maji aka jetski na kugonga daraja linalounganisha Palm Island na MacAuthor Causeway na kwa sasa ametoka…

Added by Teen Newz on May 31, 2011 at 1:00pm — 6 Comments
AY....LIL ROMEO TAYARI...SOULJA BOY SOON...!
AMBWENE YESSAYAH AKA AY Ambwene Yessayah aka AY aka Mzee wa Commercial amekwenda next level zaidi baada ya kufanya collabo mkali kutoka marekani,Percy Romeo Miller JR. aka Lil Romeo na D'anna Stewart,ngoma iitwayo Speak with your Body.....Mbali na Lil Romeo pia kwa sasa ana mpango wa kufanya kazi na Soulja Boy,coz aliacha… 
Added by Teen Newz on May 31, 2011 at 1:00pm — 27 Comments
PACHA WA P-SQUARE APORWA NA MAJAMBAZI..!
Mmoja wa pacha wanaounda kundi la P-Square,Paul Okoye alionja joto ya jiwe baada ya kuvamiwa na majambazi alipokuwa njiani kuelekea Victoria Island kucheki washikaji zake Paul alikuwa akiendesha mkoko wake mpya aina ya BMW X6 lenye plate number za "RUDE BOY"na kwa moyo wa utu…

Added by Teen Newz on May 31, 2011 at 12:30pm — 5 Comments
Aliemuokoa Sean Kingstone asema kua alitokwa na damu nyingi sana....
Added by Teen Newz on May 31, 2011 at 12:00pm — No Comments
WAZAZI HAWAJUI HARUSI YA D'BANJ NA GENE...!

Added by Teen Newz on May 30, 2011 at 3:00pm — 5 Comments
Lil wayne & Drake waki-make it rain ndani ya club
Lil wayne na member mwenzake kutoka YMCMB weekend hii iliopita wameweka historia ndani ya club moja ya mastripers kwa kubwaga zaidi ya million 400 za kibongo ndani ya club hiyo yani ki-design kama hawa jamaa kurusha hela kwao ni kitu cha kawaida na ndo sababu kubwa inayofanya wajiite "Young Money Cash Money… 
PROF J, MR NICE SINGLE COMING SOON
Mwanamapinduzi wa kweli ndani ya muziki wa kizazi kipya Bongo, The Heavyweight MC, Prof Jay yuko jikoni hivi sasa tayari kwa kuachia chapisho la ngoma nyingine mpya ambayo ndani amempa shavu muasisi wa miondoko ya TAKEU E A, Mr Nice. Stori zenye ukweli asilimia zote zinadai kuwa ngoma ambayo bado haijapatiwa… 
Added by Teen Newz on May 30, 2011 at 1:30pm — 6 Comments
ALIETABIRI KIAMA AIBUKA!
Siku chache baada ya kushindwa kutimia kwa utabiri wake Mchungaji wa kanisa moja maarufu nchini Marekani Harold Camping (89) amejitokeza hadharani na kutangaza kuwa kituo cha Family Radio kilikosea mahesabu ya biblia wakati wa kutabiri mwisho wa dunia. Akizungumza kwa kujiamini Harold alisema kulikuwa na makosa… 
Added by Teen Newz on May 30, 2011 at 1:00pm — 10 Comments
Sean Kingston amelazwa hospitali baada ya kupata ajali mbaya
Hip-hop star Sean Kingston yupo kwenye hali mbaya hivi sasa baada ya kupata ajali ya boti jana jumapili jioni (5/29/2011)..Report zinasema kua mtu mzima Sean Kingstone alikua amempakiza msichana wakike ambae bado haijajulikana kama ni demu wake au vipi ila wote wameumia sana baada ya boat hiyo kuwazidi… 
Added by Teen Newz on May 30, 2011 at 12:30pm — 9 Comments
MANCHESTER UNITED WAIBUKA NA USHINDI WA SERENGETI FIESTA SOCCER BONANZA TANGA
Haya tena kama tulivyo kuwa tunasuburi kwa hamu kubwa ili kufahamu nani ataibuka na ushindi wa SERENGETI FIESTA SOCCER BONANZA hatimae ukweli umethibitika baada ya timu ya MANCHESTER kuibuka na ushindi wa matuta ambapo waliwatandika FC BARCELONA .Hivyo kwa kuthibitisha na katika historia ya serengeti fiesta soccer… 
Added by Teen Newz on May 30, 2011 at 12:30pm — 2 Comments
ROTA ABEBA TAJI LA SERENGETI FIESTA FREESTYLE, MJI KASORO BAHARI.
Mshindi wa Serengeti Fiesta Freestyle 2011 kutoka mji kasoro bahari (Morogoro) amepatikana, ameonyesha kipaji cha kufreestyle kwa kiwango cha juu kabisa, anaitwa Rota Flavian Komba ndiye aliyeibuka kinara wa msimu wa dhahabu wa unaoendelea na Serengeti Fiesta Freestyle 2011 ndani ya mji wa Morogoro jioni ya leo. Kufuatia… 
Do you like wayne??
Added by Gerald Ephraim on May 29, 2011 at 8:06pm — No Comments
Mshiriki wa Big Brother Amplified Lotus wa Tanzania LIVE ndani ya CLOUDS FM
Added by Teen Newz on May 26, 2011 at 4:41pm — 42 Comments
Lord Eyez asakwa kwa ubakaji
RB ya Kituo cha Polisi cha Mabatini, Kijitonyama jijini Dar es Salaam iliyofunguliwa kwa jalada namba KJN/ RB/ 3397 inamsaka mtu anayetajwa kwa jina la Lord Eyez kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi wa Chuo Cha Usimamizi wa Fedha (IFM).
Added by Teen Newz on May 26, 2011 at 3:30pm — 44 Comments
MY STORY:AHMED ABDULRAHMAN SHEIKH…!!!

Added by Teen Newz on May 26, 2011 at 3:00pm — 20 Comments
Diamond European Tour 2011
Msanii wa kizazi kipya cha Bongo Fleva Mtu mzima Diomond Platnumz anatarajia kupiga Tour ya Europe mwezi wa Sita. Ataanzia Sweden,Norway,Holland,Belgium na nchi nyingi....Tour hiyo itaanza 10th/06/2011 na itaisha 19th/06/2011 endelea kutembelea Teentz kwa habari… 
Added by Teen Newz on May 25, 2011 at 4:00pm — 13 Comments
Nuru ft Mr.Chocolate Flavour

Added by Teen Newz on May 24, 2011 at 4:30pm — 13 Comments
Jason Derulo – ‘Don’t Wanna Go Home’

Added by Teen Newz on May 24, 2011 at 3:30pm — 2 Comments
50cent afanya Documentary ya Ukweli mtupu kuhu maisha yake inayoitwa "The Origin Of Me”
Mtu mzima 50cent amefanya Documentary ambayo inamuonesha akifatilia mwanzo wake kwanzia alipozaliwa hadi leo hii pamoja nakumjua kila mtu ambae ni ndugu yake yani ndugu zake woteeee kutoka pande zote mbili za wazazi wake na kila mtu ambae anaundugu na 50cent ameoneshwa kwenye documentary hiyo na wale wote ambao bado wapo… 
Added by Teen Newz on May 24, 2011 at 3:00pm — 8 Comments
2013
2012
2011
2010
1999
Hiphop staa wa Tanzania Albert Mangweha alifariki dunia akiwa Afrika Kusini May 28 2013 ambapo mpaka sasa chanzo cha kifo chake hakijajulikana na siku…
© 2013 Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.