TEEN TZ

All Blog Posts (2,173)

KIPINDI CHA AFYA CHECK CHA CLOUDS TV ,WIKI HII ILIKUWA INAHUSU MIMBA INAYOTUNGA NJE YA UZAZI YAANI ECTOPIC

LIKE OUR FACEBOOK FANPAGE : AFYA CHECK
FOLLOW US ON TWITTER: @afyacheckonline

Added by Teen Newz on May 8, 2013 at 11:25am — No Comments

Chid Benz : "Neema wa Mitego acha kunitukana kwenye Facebook"

Ki design kama lile beef la Chid Benz na Ney wa mitego halijaisha maana Chid Aliandika kwenye Account yake ya Facebook akidai kutukanwa na Ney wa mitego na haya ndio maneno aliyasema....…

Added by Teen Newz on May 7, 2013 at 9:17am — No Comments

ALICHOKISEMA ZITTO KUTOKANA NA MLIPUKO WA BOMU ARUSHA

Februari 20, 2013 niliandika kwenye gazeti la RaiaMwema suala fulani, kufuatia matukio ya kulaaniwa ya #Arusha Leo. Pia kufuatia mijadala inayoendelea kuhusu #Udini nimeona vema nirejee sehemu ya Makala ile;

"Viongozi wamekuwa wakitoa kauli za kugawa wananchi. Kiongozi wa CCM kwa mfano anaposema CUF ni chama…

Added by Teen Newz on May 7, 2013 at 8:45am — 1 Comment

Baada ya show ya ijumaa Ommy Dimpoz alienda kumshuhudia Messi Ndani ya Nou Camp Barcelona

 

Msanii ambae kwasasa anafanya vizuri kwenye muziki wa Bongo Fleva Ommy Dimpoz ambae kwasasa amepata shows Nyingi Ulaya leo ame post picha kwenye Intagram akiwa uwanjani jana katika uwanja wa Camp Barcelona...Dimpoz aliandika hay....

"Baada ya show ya ijumaa jana niliamua nilitumia mapumziko…

Added by Teen Newz on May 6, 2013 at 7:38pm — 1 Comment

MAJAMBAZI YAPORA NA KUUA JIJINI DAR!!

Majambazi yapora mama mmoja kiasi cha shilingi milioni kumi muda mchache uliopita na kutokomea kusikojulikana. Tukio hilo limetokea leo saa 11 jioni inavyosemekana mdada huyo alikua akitoka benki ya CRDB tawila

Uhuru ambapo majambazi yakiwa na pikipiki yalikua yakimfuatilia, alipotoka tu…

Added by Teen Newz on May 6, 2013 at 6:21pm — 3 Comments

KALI YA LEO: RAISI WA REAL MADRID MWENYE MIAKA 87 MBIONI KUOA MWANAMKE ALIYEMZIDI MIAKA 50 - FAMILIA YAKE YAPINGA

Raisi wa heshima wa Real Madrid Alfredo Di Stefano, ambaye atatimiza miaka 87 mwezi Julai, anatarajiwa kumuona mwanamke mwenye miaka 36 ambaye alimsadia kutaarisha kitabu cha maisha kilichotolewa mwaka 2010. Di Stefano, ambaye amekuwa akipambana na matatizo kadhaa ya afya, amesema…

Added by Teen Newz on May 6, 2013 at 3:06pm — 2 Comments

PICHA ZA SIKU: DAVID LUIZ AKICHEKA BAADA YA RAFAEL KUPEWA KADI NYEKUNDU



ibevm3P0mefEsn Shocker! GIF. David Luiz having a laugh after being kicked by Rafael

David Luiz akiangua kicheko baada ya kuchezewa rafu na Rafael iliyomfanya mbrazil mwenzie apewe kadi nyekundu





PICHA NYINGINE  ZA MATUKIO YANAYOFANANA NA HILI LA LUIZI…



BJhJNOfCUAIyKNd David Luizs smile compared to Pepe, Busquets & Sideshow Bob [Memes]



BJhFphBCAAEuo David Luizs smile compared to Pepe, Busquets & Sideshow Bob [Memes]







BJhJz2wCMAAHWfU David Luizs smile compared to Pepe, Busquets & Sideshow Bob [Memes]



BJhKJCHCIAAiKIi David Luizs smile compared to Pepe, Busquets & Sideshow Bob [Memes]

Added by Teen Newz on May 6, 2013 at 3:05pm — No Comments

AMRI KIEMBA AZIDI KUDHIHIRISHA UMUHIMU WAKE NDANI YA KIKOSI CHA SIMBA

Kiungo Amri Kiemba alifunga bao moja na kutengeneza moja wakati Simba ilipoisambaratisha Ruvu Shooting kwa mabao 3-1 jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika harakati zake za kusaka nafasi ya tatu.



Kiemba alifunga bao lake kwa shuti la umbali wa mita 25 katika dakika ya 14, ambapo Shooting walisawazisha…

Added by Teen Newz on May 6, 2013 at 3:03pm — No Comments

WIZI MTUPU! ... KULIONA KABURI LA KANUMBA SH. 5,000

 

Stori:IssaKwisa Mponi na Denis Mtima

KATIKA kile kinachoonekana kwamba ni wizi mtupu, baadhi ya vijana wanaojifanya kutunza Makaburi ya Kinondoni wamebuni njia ya kuwaibia watu kwa kutumia kaburi la nguli wa filamu za Kibongo, marehemu Steven…

Added by Teen Newz on May 4, 2013 at 11:26am — 1 Comment

Diamond kafa kaoza kwa Pennyl Aanika Hisia zake kwenye Mitandaoni "Facebook & Instagram"

Leo Ikiwa ni Siku ambayo Mwanadada Pennyl anasherekea siku yake ya kuzaliwa ambapo kwenye mitandao ya kijamii watu wengi wememtakia maisha mema na kumpongeza kwa wingi Basi Mwanamuziki Anaeshikilia Chat ya Bongo kwasasa Diamond nae hakua nyuma kuonesha…

Added by Teen Newz on May 4, 2013 at 10:30am — 7 Comments

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2012 YAFUTWA, MITIHANI KUSAHIHISHWA UPYA

 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi (kushoto), akiwa…

Added by Teen Newz on May 4, 2013 at 10:08am — No Comments

BRAKING NEWS:MFANYABIASHARA AJITUPA TOKA GHOROFA YA TISA MPA CHINI KARIAKOO MDAA HUU

Muda mfupi uliopita,Mtu mmoja alietambulika kwa Jina la Shirima ambaye ni Mfanyabiashara katika moja ya Maduka ya Kariakoo jijini Dar es Salaam,amejirusha toka ghorofa ya 9 ya Hoteli ya Concord iliopo Maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam na amekimbizwa hospitali kwa uangalizi zaidi maana haijafahamika kama kapoteza Maisha au bado…

Added by Teen Newz on May 3, 2013 at 4:42pm — 1 Comment

WYCLEF AZUNGUKA MITAA YA NYC NA GITAA LENYE UMBO LA SILAHA AINA YA AK-47

Wyclef Jean anasema yeye anataka kubadili silaha kuwa muziki ... hivyo ametengeneza gitaa lenye umbo kama AK-47 ASSAULT RIFLE ... na kuzunguka nayo katika mitaa ya NYC.

idea inaonekana kuwa nzuri, lakini kuzurura na kuinyesha kwa watu kitu kinachofanana na Silaha katikati ya mitaa…

Added by Teen Newz on May 3, 2013 at 3:49pm — 1 Comment

New Track : Darasa ft Osman - Haki Sawa

Added by Teen Newz on May 3, 2013 at 3:30pm — No Comments

Blog Topics by Tags

Monthly Archives

2013

2012

2011

2010

1999

© 2013   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service