TEEN TZ

Featured Blog Posts (1,807)

DIAMOND ATOKA NA MTINDO MPYA WA NYWELE

Added by Teen Newz on May 21, 2013 at 3:00am — No Comments

LEO IKIWA NI SIKU YA KUMBUKUMBU YA AJALI YA MV BUKOBA,KALLA JEREMIAH KAKUANDIKIA UJUMBE HUU

kESHO NI SIKU YANGU YA KUZALIWA may 21. LAKINI KWA KUWA TAREHE HIYO NI SAWA NA TAREHE ILIYOTOKEA AJALI KUBWA ILIYOUA WATANZANIA WENGI KATIKA ZIWA VICTORIA AJALI YA MV BUKOBA. NA KWA KUWA MWAKA HUU NILIENDA KUSAFISHA MAKABURI YA WAHANGA HAO. MOJA KATI YA MIKAKATI NILIYOJIWEKEA…

Added by Teen Newz on May 21, 2013 at 2:00am — No Comments

NEED FOR SPEED??NAY WA MITEGO ALIVYOKUWA AKIDRIVE KWA KASI KUIWAHI SHO YAKE NA DIAMOND

Pengine Rapper Nay alikuwa na shauku sana na show yao hiyo na mpinzani wake wa mziki gani,Diamond ama pengine alikuwa akijali mda aliopaswa kuwa eneo la tukio.

Gari ya Nay ni hiyo Mark X nyeusi

Added by Teen Newz on May 21, 2013 at 2:39am — No Comments

MRISHO NGASA ATAMBULISHWA RASMI YANGA

Mrisho Ngasa akiongea na waandishi wa habari leo makao makuu ya klabu ya Yanga baada ya kutambulishwa rasmi. (Picha na Yanga)

Katibu Mkuu wa klabu ya Young Africans Lawrence Lawrence Mwalusako leo amemtambulisha rasmi kwa waandishi wa habari mchezaji Mrisho Ngasa ambaye amerejea katika…

Added by Teen Newz on May 20, 2013 at 6:01pm — 1 Comment

VIDEO&PICHA:HIVI NDIVYO WEUSI WALIVYOMTOA MAMA YEYOO NJE YA BOX MAISHA CLUB

                                                                                     Hisabati…

Added by Teen Newz on May 20, 2013 at 4:30am — No Comments

VIDEO&PICHA:HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA SHOW YA NAY WA MITEGO VS DIAMOND DAR LIVE

                                          Nay wa mitego ndani ya gari lake akielekea Dar live…

Added by Teen Newz on May 19, 2013 at 4:30am — 2 Comments

MOJA YA SABABU KWA NINI USITUMIE SIMU WAKATI UNA DRIVE

Added by Teen Newz on May 18, 2013 at 4:30pm — No Comments

KWA MARA NYINGINE,BILL GATE NDIYE TAJIRI NAMBA MOJA DUNIANI

Baada ya kuwekwa benchi   since 2007 kama tajiri namba moja duniani,Founder wa Microsoft corporation

Bill Gates amerudi tena kwenye namba yake,namba iliyokuwa ikishikiliwa na billionea wa Mexico,Carllos Slim

Kwa mujibu wa   Bloomberg Billionaires Index,mabadiriko haya yamekuja baada ya utajiri wa Gates…

Added by Teen Newz on May 17, 2013 at 5:30pm — 1 Comment

PICHA:SIKU TAIFA STARS ILIPOCHEZA MECHI YA KIMATAIFA WAKIWA VIFUA WAZI

HII NDIO ILIMFANYA BABA WA TAIFA AKATAE MIALIKO YA MECHI ZA SOKA.1974?? TANZANIA vs SUDAN.ANAEKAGUA TIMU NI RAIS NIMEIRI WA SUDAN.HAO NI TAIFA STARS .NAHODHA NI ABDULRAHMAN JUMA KUTOKA KUSHOTO NI CHUMA,ZIMBWE WENGINE HAWAONEKANI VIZUR

Added by Teen Newz on May 17, 2013 at 4:30pm — 3 Comments

TAZNEEM SHE IS BACK

Mala ya kwanza tulipomskia na kumwona kwenye kichupa chake cha KWASA KWASA,ni wachache waliomfahamu,pamoja na kufanya poa sana na kwasa kwasa Ghafra dada yetu akapotea,hakuonekana wala kusikika tena.

Jina lake la serikali anaitwa Tazneem Tarmohamed,jukwaani tunamfaham kama Tazneeem,mrembo mtanzania mwenye…

Added by Teen Newz on May 17, 2013 at 3:41pm — 1 Comment

PICHA YA SIKU

Added by Teen Newz on May 17, 2013 at 4:07pm — 1 Comment

SPACK:MWANAMZIKI NA ACTOR ANAYEHESHIMIKA NCHINI RWANDA

                                               Spack akiwa Tanzania na meneja wake

Anaitwa Spax Mselem but in Rwanda anafahamika zaidi kama Spack,ni moja ya wanamuzic wenye big name na heshima nchini Rwanda

na sasa yuko Kwa Jakaya kwa Rengo la kukuza mziki wake…

Added by Teen Newz on May 16, 2013 at 2:30pm — 6 Comments

EXCLUSIVE:LINA NA AMINI WAMERUDIANA

pengine msemo wa true love never die utakuwa unawahusu sana Linah na Amin,ambao couple yao ilimake headline sana baada ya kuvunjika miezi kibao iliyopita na kila mmoja ku move on na mahusiano mengine ambapoinafahamika kuwa kuwa Linah ana mchumba wake na wataoana soon lakini siku za karibuni ukaribu wa hawa…

Added by Teen Newz on May 16, 2013 at 1:38pm — No Comments

YOU HEARD : JACKLINE WOLPER NA ALI KIBA WAKUTWA WAKI NONIHINO NDANI YA GARI / INASEMEKANA LAKINI

Taarifa ambazo zilifika mezani kwa muhariri wa Gazeti la makorokocho, kutoka chanzo kitakatifu zinasema kuwa eti mwanadada Jackline Wolper pamoja na Ali Kiba weekend iliyopita wakati wakiwa kwenye mechi kati ya wasanii wa Bongo Movie na Taswa, iliyofanyika pande za chang'ombe wawili hao walipigiwa chabo wakati…

Added by Teen Newz on May 16, 2013 at 7:53am — 5 Comments

UNADHANI INA UKWELI HII?

Added by Teen Newz on May 16, 2013 at 6:42am — 3 Comments

BAADA YA UK TOUR&CONGO DIAMOND YUKO STUDIO AKIANDAA TRUCK MPYA

Diamond ni hard worker&hard working siku zote hulipa,Baada ya ziara ya UK then Congo&Burundi

amerudi leo siku ya jumatano and TEENTZ imeongea nae usiku huu na kusema yuko studio akipika mzigo mwingine

mpya ,kumbuka kwa mwaka huu kesha achia single mbili zinazofanya vizuri Ukimwona&mapenzi…

Added by Teen Newz on May 15, 2013 at 11:30am — 3 Comments

COMEDY : WIKI HII KWENYE VUVUZELA

Added by Teen Newz on May 15, 2013 at 11:30am — 1 Comment

Featured Monthly Archives

2013

2012

2011

2010

© 2013   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service