TEEN TZ

All Blog Posts Tagged 'YA' (205)

VIDEO:MAELFU YA WATU WAKIGOMBANIA TSHIRT YA DIAMOND

Added by Teen Newz on May 24, 2013 at 7:00pm — No Comments

HII NDIYO BARABARA YA HATARI ZAIDI DUNIANI

Added by Teen Newz on May 24, 2013 at 1:24pm — 3 Comments

WEUSI KUJA NA N.G.O YA KUKUZA KIWANGO CHA UFAULU NCHINI

Hakuna ambaye hakuguswa na matokeo mabaya ya kidato cha nne Tanzania.na pengine ndiyo sababu iliyowafanya team nzima ya Weusi kampuni kuja na wazo ambalo kama watanzania wote wenye nafasi watakuwa na mawazo kama hayo,elimu nchini itakuwa kwa level zingine kabisa…

Added by Teen Newz on May 24, 2013 at 12:30pm — 3 Comments

VIDEO:MAELFU YA WATU WAKIGOMBANIA TSHIRT YA DIAMOND

Added by Teen Newz on May 24, 2013 at 12:38am — No Comments

SHOW YA KWANZA YA SPAX HII HAPA

Bila shaka unakumbuka tulikuletea story kumhusu Spax actor na mwanamziki mwenye big name nchini Rwanda

ambapo yupo nchini kujsambaza mziki wake na watanzania wajue nini anafanya,sasa basi jumapil hii kwa mara ya kwanza atafanya show nchini,entrance ikiwa ni 6000 za kitanzania

usipange…

Added by Teen Newz on May 23, 2013 at 12:13am — No Comments

AZAM KULETA BOTI MPYA YA KISASA

Kampuni ya Azam Marine inatarajia kuleta boti mpya ya kisasa itakayoitwa Kilimanjaro 4,nchini, kuanzia ikiwa na uwezo wa kubeba abiria 700 na kutumia muda wa dakika 70 kwa safari moja ya kati ya Zanzibar na Dar es Salaam. boti hii itakidhi mahitaji ya wasafiri wa eneo hili kwa kuwa inabeba sifa…

Added by Teen Newz on May 22, 2013 at 4:30pm — No Comments

DIAMOND NA NAY WA MITEGO KUPAMBANA TENA NDANI YA MAISHA CLUB

Baada ya mpambano kufanyika Dar live kumtafuta nani anafanya mziki wa kweli between hip hop na wale mchele mchele(bongo fleva)na kukosekana mshindi ishu nzima inahamia Maisha club,show ikiwa tofauti kabisa na zilizopita,hapa kutakuwa na black carpet kwa Hip hop wakiongozwa na Nay wa mitego,pembeni white…

Added by Teen Newz on May 22, 2013 at 2:00pm — No Comments

LEO IKIWA NI SIKU YA KUMBUKUMBU YA AJALI YA MV BUKOBA,KALLA JEREMIAH KAKUANDIKIA UJUMBE HUU

kESHO NI SIKU YANGU YA KUZALIWA may 21. LAKINI KWA KUWA TAREHE HIYO NI SAWA NA TAREHE ILIYOTOKEA AJALI KUBWA ILIYOUA WATANZANIA WENGI KATIKA ZIWA VICTORIA AJALI YA MV BUKOBA. NA KWA KUWA MWAKA HUU NILIENDA KUSAFISHA MAKABURI YA WAHANGA HAO. MOJA KATI YA MIKAKATI NILIYOJIWEKEA…

Added by Teen Newz on May 21, 2013 at 2:00am — No Comments

VIDEO&PICHA:HIVI NDIVYO WEUSI WALIVYOMTOA MAMA YEYOO NJE YA BOX MAISHA CLUB

                                                                                     Hisabati…

Added by Teen Newz on May 20, 2013 at 4:30am — No Comments

VIDEO&PICHA:HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA SHOW YA NAY WA MITEGO VS DIAMOND DAR LIVE

                                          Nay wa mitego ndani ya gari lake akielekea Dar live…

Added by Teen Newz on May 19, 2013 at 4:30am — 2 Comments

MOJA YA SABABU KWA NINI USITUMIE SIMU WAKATI UNA DRIVE

Added by Teen Newz on May 18, 2013 at 4:30pm — No Comments

PICHA:SIKU TAIFA STARS ILIPOCHEZA MECHI YA KIMATAIFA WAKIWA VIFUA WAZI

HII NDIO ILIMFANYA BABA WA TAIFA AKATAE MIALIKO YA MECHI ZA SOKA.1974?? TANZANIA vs SUDAN.ANAEKAGUA TIMU NI RAIS NIMEIRI WA SUDAN.HAO NI TAIFA STARS .NAHODHA NI ABDULRAHMAN JUMA KUTOKA KUSHOTO NI CHUMA,ZIMBWE WENGINE HAWAONEKANI VIZUR

Added by Teen Newz on May 17, 2013 at 4:30pm — 4 Comments

YOU HEARD : JACKLINE WOLPER NA ALI KIBA WAKUTWA WAKI NONIHINO NDANI YA GARI / INASEMEKANA LAKINI

Taarifa ambazo zilifika mezani kwa muhariri wa Gazeti la makorokocho, kutoka chanzo kitakatifu zinasema kuwa eti mwanadada Jackline Wolper pamoja na Ali Kiba weekend iliyopita wakati wakiwa kwenye mechi kati ya wasanii wa Bongo Movie na Taswa, iliyofanyika pande za chang'ombe wawili hao walipigiwa chabo wakati…

Added by Teen Newz on May 16, 2013 at 7:53am — 5 Comments

BAADA YA UK TOUR&CONGO DIAMOND YUKO STUDIO AKIANDAA TRUCK MPYA

Diamond ni hard worker&hard working siku zote hulipa,Baada ya ziara ya UK then Congo&Burundi

amerudi leo siku ya jumatano and TEENTZ imeongea nae usiku huu na kusema yuko studio akipika mzigo mwingine

mpya ,kumbuka kwa mwaka huu kesha achia single mbili zinazofanya vizuri Ukimwona&mapenzi…

Added by Teen Newz on May 15, 2013 at 11:30am — 3 Comments

KITALE AKIWA KWENYE SEGMENT YA JICHO LA TATU KWENYE KIPINDI CHA TAKE ONE CHA CLOUDS TV AKIIELEZEA MOVIE YAKE YA MWISHO ALIYOIGIZA NA MAREHEMU

Kipindi cha wiki iliyopita cha Take One kwenye segment ya JICHO LA TATU, ilikuwa na msanii wa comedy KITALE alikuwa anaelezea movie ya mwisho aliyoigiza na marehemu Sharomillionaire ambayo ilikuwa inaenda kwa jina la THE IMPOSSIBLE

KWENYE SEGMENT YA MTU KATI KULIKUWA NA MSANII SLIM…

Added by Teen Newz on May 14, 2013 at 9:58am — 1 Comment

VIDEO : DEMU WA KIZUNGU NUSURA AMCHAPE HEMED PHD BAADA YA KUMPULIZIA PERFUME BILCANAS

Ni usiku wa jana wakati PHD akizindua wimbo wake wa Rest of my life ambapo hit maker huyo wa Mama kimbo aliingia kwa stayle ya kuspray perfume kwa fans wake na kwa bahati isiyo nzuri kwa PHD alispray perfume kwa mwanadada wa kitasha aliyekuwa akishout kwa kumwita hemed on stage na Hemed alikosea kudhani kwa kudhani kuwa mwanadada naye anataka apigwe unyunyu na hiyo ikawa ndiyo mistake kwa mkari huyo wa music na bongo movie kumbe bi dada alimaindi na…

Added by Teentz - Full Mikogo on May 13, 2013 at 3:30pm — 4 Comments

KIPINDI CHA AFYA CHECK CHA CLOUDS TV ,WIKI HII ILIKUWA INAHUSU MIMBA INAYOTUNGA NJE YA UZAZI YAANI ECTOPIC

LIKE OUR FACEBOOK FANPAGE : AFYA CHECK
FOLLOW US ON TWITTER: @afyacheckonline

Added by Teen Newz on May 8, 2013 at 11:25am — No Comments

KALI YA LEO: RAISI WA REAL MADRID MWENYE MIAKA 87 MBIONI KUOA MWANAMKE ALIYEMZIDI MIAKA 50 - FAMILIA YAKE YAPINGA

Raisi wa heshima wa Real Madrid Alfredo Di Stefano, ambaye atatimiza miaka 87 mwezi Julai, anatarajiwa kumuona mwanamke mwenye miaka 36 ambaye alimsadia kutaarisha kitabu cha maisha kilichotolewa mwaka 2010. Di Stefano, ambaye amekuwa akipambana na matatizo kadhaa ya afya, amesema…

Added by Teen Newz on May 6, 2013 at 3:06pm — 2 Comments

G5 CLICK - LATEST NEWS

LUDACRIS AACHIA MIXTAPE SIKU MOJA NA MOVIE ALIYOSHIRIKI "FAST AND FURIOUS 6"

Rapper LudaCris amedondosha moxtape yake mpya leo kupitia Datpiff.com ikiwa ni siku moja na release ya movie aliyoshiriki 'fast and furious 6', mixtape hiyo ina nyimbo10 na tayari ishadondoka leo hii, pichani ni cover yenye track list ya nyimbo hizo.…


 

© 2013   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service