
Staa wa hip hop kutoka 'Kruu' ya Weusi iliyokita kambi pande za A-Town, Nikki wa Pilli amesema kuwa albam ya kundi hilo iliyokuwa itoke mapema mwezi uliopia imekwama.
Akizungumza na teentz.com mapema leo Nikki anayepewa heshima ya kuwa mmoja wa mastaa wa muziki huo wenye uwezo wa kuandika mistari mikali alifunguka kuwa kukwama kwa albamu hiyo kumekuja kufuatia matatizo ya kiufundi baada ya waliokuwa wakisimia kukamilika kwake kushindwa kuambatanisha moja ya wimbo katika uliokuwa ndani ya albam hiyo baada ya kufutika kutoka katika kumbukumbu za komputa.
"Ni jambo ambalo limetusikitisha hata sisi kwa kuwa tulikuwa tunajuwa kuwa mashabiki wetu wanahitaji albam hiyo, wimbo mmoja umefutika ndiyo sababu kubwa ya kukwama kutoka lakini hata hivyo fans wetu wasiwe na wasi wasi kwani tayari tatizo hilo limeshughulikiwa na soon tutawatangazia tarehe ya kutoka tena kwa mzigo huo" alisema Nikki.
STORI BY DISMAS TEN 0718489260
Comment
Comment by Ally Khana Abdallah on August 4, 2012 at 2:00am
Comment by Living Exuper on July 31, 2012 at 3:13pm haina shida tutaisubiri tu, sisi ndo matawi ya Weusi
We do appreciating u guys
Comment by Samaida Sama on July 29, 2012 at 6:15pm mungu atawezesha wana!!!
Comment by Jerome lister on July 18, 2012 at 2:01pm
sohel khan posted an album
fhgfhfgjgh posted an album
dsfdfdfsahe maywea commented on sohel khan's albumAdded by jenry jeny on May 17, 2013
© 2013 Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.
You need to be a member of TEEN TZ to add comments!
Join TEEN TZ