TEEN TZ

STAA WA BONGO MOVE ATOA SINGO ‘KUMDISS’ NEY

Nyota kutoka tasnia ya filamu Bongo, Latifah Idabu ‘Badra’ ametoa ‘singo’  inayomchana  ‘live’ staa wa Bongo Fleva, Ney wa mitego (mbavu nene).

Akizungumza na Teentz.com muda mfupi uliopita  Badra amefunguka kuwa  ameamua kutengeneza ngoma hiyo kufuatia kauli chafu dhidi ya wasanii wa kike  aliyotowa Ney kwenye wimbo wake mpya wa hip hop  ujulikanao kama ‘Nasema nao’  unaotamba hivi sasa kwenye vituo mbalimbali  vya redio.

“Nimechukizwa mno na kitendo cha Ney kuimba kuwa  mastaa wa Bongo move ni makahaba , hawezi kusema hivyo na sisi tukaa kimya, ametushushia hadhi hasa ukizingatia sisi ni kioo cha jamii, ni zamu yake sasa  kusikia nilichomwambia na  kama kitamuuma  atajibu” alisema  Badra na kumalizia kwa t***i.

By  Dismas Ten..Teentz.com

Views: 2620

Tags: ATOA, BONGO, MOVE, NEY, SINGO, STAA, WA, ‘KUMDISS’

Comment

You need to be a member of TEEN TZ to add comments!

Join TEEN TZ

Comment by James Patson on July 2, 2012 at 11:32am

Bongo movie bongo lala!!!!!!

Comment by nasser i milulu on June 25, 2012 at 7:03pm

ney umewapa ya uso ndiyo maana wanakujibu,messege sent kwao,achen tabia zenu,mkiona mpaka mnaimbwa 2meshawachoka tena sanaaaaaaaaa.

Comment by PROSPER PROTACE on June 24, 2012 at 2:42pm

NEY KAWACHANA MULEMULEE,COZ CKU HIZ MUVI ZA BONGO HAZIISHI KAMA HAWAJAONYESHA  WASIVYOJIHESHIM,MBONA KITAMBO NKILE 2LIKUA 2NAWAANGALIA AKINA WARIDI,KISA NA AKINA SANDRA NA 2NAWAELEWA BILA KU2ONYESHA MAPAJA YAO!BUT NOW DAYS NYIE MNATUIBIA 2 MNA2TANGAZIA BIASHARA MBILIMBILI,SANAA KAZI NA INAJILIPA NA KUKULIPA.BIG UP NEY,WEWEMSANII WA UKWELI NA HUO NDO UTASHI KTK SANAA................CONSIOUSLY!am done...............

Comment by laurent joseph on June 24, 2012 at 1:42pm

wabongo ndo  zenu ney lazima awaambie ukweli kwani wasanii wa filamu bongo manaboa cause daily manchange mabwana kuna nini

Comment by Gody Godwin Unstoppable on June 24, 2012 at 6:54am

hahhahahha........... muhusika ww...... ungekua sio muhusika hata mshipa wa kujibu usingekuepo,,,,,,

Comment by baraka samuel on June 24, 2012 at 3:26am

kama unakipaji ni bora ukatoka kivingine, hachana na diss hazina maana katika game

Comment by Iddi on June 23, 2012 at 9:55am
hata kama imekugusa ni bora ungepiga kimya tu.. Nakama unakipaji cha muziki ungetoka kivingine tu mu-nane,
Comment by Gullam Mohammed Rashid on June 23, 2012 at 3:36am

mi naingoja kwa hamu kubwa coz jamaa sidhani kama atajibu shambulizi

Comment by BANYIKWA JOHN on June 23, 2012 at 1:37am

uwe na mwendelezo,sio ili mrad track ya diss tu,iwena radha ya kimuzik,,af jiangalie

Comment by steven philip on June 23, 2012 at 12:15am

sister mpaka umetoa wimbo inaonekana na wewe ni miongoni mwa wale waliotajwa nini?

G5 CLICK - LATEST NEWS

LUDACRIS AACHIA MIXTAPE SIKU MOJA NA MOVIE ALIYOSHIRIKI "FAST AND FURIOUS 6"

Rapper LudaCris amedondosha moxtape yake mpya leo kupitia Datpiff.com ikiwa ni siku moja na release ya movie aliyoshiriki 'fast and furious 6', mixtape hiyo ina nyimbo10 na tayari ishadondoka leo hii, pichani ni cover yenye track list ya nyimbo hizo.…


 

© 2013   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service