TEEN TZ

KUTOKA CLOUDS TV MWANADADA SHADEE  NDIYO  ALIKUWA HOST WA BBM PARTY 2012 HAPA AKIMUHOJI YOUNG NELLY KUTOKA G5click.com

ILE  party ya  kijanja inayokutanisha mastaa  kibao ndani na nje ya Bongo ambayo kwa wiki kadhaa imekuwa ikisubiriwa kwa hamu na mamia ya wapenda Burudani hapa Bongo imefanyika  kwa mafaniko makubwa  ndani ya Mbalamwezi Beach Club .

Akizungumza na Teentz.com wakati party hiyo ikiendelea , mmoja  wa wakurugenzi wa kampuni ya  G5click iliyoandaa party hiyo  Ahmed Junior amefunguka kuwa BBM Party ya 2012 imefanikiwa kwa kiasi kikubwa tofauti n amsimu uliopta  hii ikiw ani baada ya kujitokeza kwa watu wengi zaidi kama ambavyo ilitarajiwa  na kufanya event hiyo kuwa nzuri na ya aiana yake.

"mwaka huu tunashukuru  Mungu kuwa tumefanikiwa tofauti namsimu uliopita, watu wamejitokeza kwa wingi, tunaswahukuru watu wote waliofika na tunapenda kuwaarifu kuwa msimu ujao tutafanya ubwa zaidi kwa kuwa tayari tunaudhamini wa kampuni ya  Rim ambao ndiyo wahusika wakuu wa simu za BlackBerry duniani kote" alisema Junior

Views: 413

Tags: 2012, BBM, BHAAAAAAASI, PARTY

Comment

You need to be a member of TEEN TZ to add comments!

Join TEEN TZ

Comment by chama-baby on July 9, 2012 at 4:10pm

kul man

G5 CLICK - LATEST NEWS

LUDACRIS AACHIA MIXTAPE SIKU MOJA NA MOVIE ALIYOSHIRIKI "FAST AND FURIOUS 6"

Rapper LudaCris amedondosha moxtape yake mpya leo kupitia Datpiff.com ikiwa ni siku moja na release ya movie aliyoshiriki 'fast and furious 6', mixtape hiyo ina nyimbo10 na tayari ishadondoka leo hii, pichani ni cover yenye track list ya nyimbo hizo.…


 

© 2013   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service