TEEN TZ

Justin Bieber amesema kuwa karibu mno na mama yake kiumri, ambaye alimzaa akiwa na miaka 18, kumewafanya wawe marafiki.

Akizungumza na 2Day FM, Justin amesema: "She's amazing'... Ni wazi nilikuwa kama ajali kwake, ni poa sana mama yangu bado ni mdogo, ni rafiki na mama yangu pia, amekuwa strict sana siku zote, ameniweka kwenye mstari.”

Katika mahojiano hayo Justin alizungumzia pia jinsi ambavyo huwa haoni shida kuperform mbele ya maelfu ya watu lakini hupata shida kubwa anapotaka kuongea mbele yao.

Alieleza:"Napenda kuperform, kupiga tour na kuwa na umati mpya wa watu kila usiku, ni kitu nikipendacho siku zote.. Ni ajabu kuwa naweza kuperform mbele ya watu wengi lakini ukifika wakati wa kuongea napata shida, sijui kabisa jinsi ya kuzungumza mbele ya watu wengi."

Aidha Justin alizungumzia pia mipango ya kufanya filamu ambapo amesema ameanza mazunguzo na muigizaji Mark Wahlberg kufanya filamu mpya.

Views: 566

Tags: AFURAHIA, BIEBER, MAMA, UMRI, WA, YAKE

Comment

You need to be a member of TEEN TZ to add comments!

Join TEEN TZ

Comment by Tumaini Chanyika on July 26, 2012 at 8:12pm
i admire you Justin your totally talented...............
Comment by Declan Driscoll on July 25, 2012 at 9:25am

You cannot debate that point, but you should pay attention to that. Moving forward, I have a capacity about Herbal Sleep Formula. I'm looking at some important ideas.That's a small price to pay. You're probably ready to get started with Herbal Sleep Formula.

G5 CLICK - LATEST NEWS

Video za utengenezaji wa video ya mwisho aliyoonekana Marehemu Ngwea South Africa.

Hiphop staa wa Tanzania Albert Mangweha alifariki dunia akiwa Afrika Kusini May 28 2013 ambapo mpaka sasa chanzo cha kifo chake hakijajulikana na siku…


TOP PHOTOS

1. Agnes gerad

Added by Sekion Joseph on July 9, 2012

2. 4.u

Added by Rita on June 16, 2012

3. Agnes Masogange

Added by Sekion Joseph on November 11, 2012

 

© 2013   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service