TEEN TZ

Ilikuwa ni kama fainali ya michuano ya kombe la Ligi ya mabingwa ulaya kwa njinsi mashabiki walivyokuwa wakishangilia wakati madansi kutoka mitaa mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam wakati wa shindano la kumsaka mkali wa dansi la Fiesta lililochukua nafasi ndani ya club Sun Cirro pande za Sinza.

Akizungumza na Teentz.com muda mfupi mara baada ya kumalizika kwa shindano na washindi kupatika mmoja wa majaji waliokuwa wakisimamia mpango huo Fundi Samweli kutoka Wasanii Production alifunguka kuwa kulikuwa n aushindani mkubwa kwa vijana waliojitokeza lakini alisikitishwa na kujitokeza kwa wasichana wachache tofauti n amikoa mingine

"Mambo yameenda vizuri, washiriki walikuwa wengi, na walijitahidi kuonyesha uwezo wao kilichonisikitisha ni kujitokeza kwa wasichana wachache lakini kimsingi kila kitu kilikuwa vizuri na kama ulivyoona washindi wamepatika kihalali na wamepewa zawadi zinazostahili" alisema Fundi Samweli

mmoja wa washindi wa Dansi la Fiesta 2012 akizungumza na Clouds Tv

 

STORI NA DISMAS TEN 0718489260

Views: 401

Tags: 2012, CIRRO, DANSI, FIESTA, LA, LACHANUA, SUN

Comment

You need to be a member of TEEN TZ to add comments!

Join TEEN TZ

G5 CLICK - LATEST NEWS

Advertisement

Latest Activity

James Anderson posted a status
6 minutes ago
James Anderson posted a status
13 minutes ago
Ahmedy king Ramsay posted a status
"love the wrong person doesn mean ur stupid.it was stupid of that person not 2 appriciate ur love."
22 minutes ago
James Anderson posted a status
23 minutes ago


 

© 2013   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service