TEEN TZ

DIAMOND APOKELEWA KWA MSAFARA SONGEA

Nyota wa muziki wa kizazi kIpya Bongo Naseeb Abdul 'Diamond' mwishoni  mwa wiki iliyopia alipata mapokezi ya aina yake wilayani Sogea mkoani Ruvuma.


Akizungumza na Teentz.com VIA 4N  mara baada ya kuwasili wilayani humo, Diamond alifunguka kuwa amepata mapokezi ya ajabu ambayo hajawahi kuyaona toka alivyoanza kuwajibika ndani ya gemu ya muziki wa kizazi kipya.

"Nimepokelewa kwa msafara wa magari na pikipiki nyingi kama ambavyo hupokelewa viongozi wakuu wa nchi hapa nilipo kuna watu wengi  kupita maelezo ambao wamejitokeza kunipokea , hakika sijawahi kuona jambo hilo kabla, namshukuru Mungu kwa kila kinachotokea hii inanipa moyo wa kufanya kazi zaidi ili kuwafurahisha mashabiki wangu" alisema Diamond

STORI NA DISMAS TEN

Views: 1704

Tags: APOKELEWA, DIAMOND, KWA, MSAFARA, SONGEA

Comment

You need to be a member of TEEN TZ to add comments!

Join TEEN TZ

Comment by Tumaini Chanyika on July 7, 2012 at 10:01am

dah c mchezo..........kaza buti tu hakuan kurudi nyuma...........

Comment by MARIAM MSEMO on July 3, 2012 at 1:59pm

Natamani kujua Diamond anavyojisikia watu wakiwa wanamshangilia.

Comment by chama-baby on July 3, 2012 at 12:45pm

mh.. jembeeeeeeeeeeee!

Comment by angela sijale on July 3, 2012 at 6:18am

mh..

Comment by tito ngomaitara on July 2, 2012 at 7:24pm
muda wako huu kijana utumie kila sekunde kwako ni milioni miaaa!!
Comment by JackY Ndenge on July 2, 2012 at 6:48pm

mh. Diamond hongera sn ndo muda wako huu wa kumake chapaaa,,take care bro!!!

Comment by JOSEPH D. MORIAH on July 2, 2012 at 4:54pm

Diamond kaza buti mzazi hata Wacko jacko alianza kinamna hiyo.


TOP PHOTOS

1. 4.u

Added by Rita on June 16, 2012

2. IMG_0040

Added by Aysher sas on April 15, 2013

 

© 2013   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service