TEEN TZ

Siku chache baada ya kuondolewa ndani ya kundi la Tip Tipo Connection, staa wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Abdul Abubakar Chende ‘Dogo Janja’ ametua Bongo Muda mfupi uliopita akitokea A-town (Arusha).


Taarifa ambazo zimeifikia Teentz.com kutoka pande za uwanja wa ndege wa JK Nyerere zinasomeka kuwa Dogo Janja ametua mida ya saa 4:30 kwa pipa (ndege) na kulakiwa na mashabiki wake wliojitokeza kwa wingi.

Akiwa jijini Arusha kabla ya kuanza safarai yake hii ya leo jana Dogo janja aliiposti kupita BBM maneno yaliyosomeka “Ki2 cha dua nini home lazima kieleweke” akimaanisha kuwa yuko kwenye kuomba dua ili safari yake ibarikiwe.

Endelea kufuatilia stori hii hapa Teentz.com habari na picha zaidi zinakujia punde ikiwa ni pamoja na interview ya kwanza akiwa Bongo kwa mara nyingine.
      

By Dismas Ten.. Teentz.com

Views: 1803

Tags: ATUA, DAR, DOGO, JANJA, KWA, PIPA

Comment

You need to be a member of TEEN TZ to add comments!

Join TEEN TZ

Comment by Mackai Muhibu Mackai [Big M] on June 24, 2012 at 2:14pm
KUTUTLIA NDIO MPANGO MZIMA,......CHIZI ASIFIIWI HATA SIKU MOJA.
Comment by NEWTON JAMES URASA on June 23, 2012 at 4:06pm

dogo salute

Comment by abdulkareem sj on June 23, 2012 at 12:44pm
kila la heri dogo j but school ndo maisha yako music next ata wakin snoop dog wamepita kixul
Comment by Johnbosco luambano on June 23, 2012 at 2:06am

dogo ukasome bana.........

Comment by paul mageta on June 22, 2012 at 5:15pm
Dogo komaa acha ki2 cha a town kitakupeleka kubaya.
Comment by kelvin abdul on June 22, 2012 at 4:34pm

dah dogo anatisha kama ndo hivo

Comment by Justine on June 22, 2012 at 3:41pm

Mwache arudimjini kuuzasura maana maisha ameishayakwepa.Nakumbuka ujinga wakwanza alimdharau na kumtusi mwalimuwake shuleni kwakumuita KUBWAJINGA.Ana laana aloipata kwenyeraha za bongo huyo!.

 Amuulize mista blue ampe mkanda waujinga wa'kujua bila kusoma'

Comment by KEVIE ZEDONG on June 22, 2012 at 3:11pm

dogo go n do ur thing,,,,,!! ila usome jamaa..elimu siu hizi imepewa kipaumbele hata zaidi yaujauzito

Comment by Jerome lister on June 22, 2012 at 3:00pm
Maarif wote wa R chuga plz Punguzeni kula GOMBA arrif hasa masela wngu wa Esso,Ungalimtd,Ngarnaro..mmezd arrif hata ndata hamuogop utakut m2 kamuona ndata lkn ana2pia nainai?
Comment by Jerome lister on June 22, 2012 at 2:53pm
Yerreeeeeee

G5 CLICK - LATEST NEWS

Latest Activity


 

© 2013   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service