TEEN TZ

FLORA MVUNGI AMCHANA UWOYA NI KUHUSU H-BABA

SIKU chache baada ya nyota kutoka tasnia ya filamu Bongo, Irene Uwoya, kufunguka juu ya kutojua mapenzi kwa ‘X-boyfriend’ wake ambaye ni staa wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Hamis Ramadhan Baba ‘H –Baba’, mwanadada anayemiliki penzi la msanii huyo hivi sasa Flora Mvungi, ameibuka na kumtupia maneno makali mwigizaji huyo akimtaka kuacha tabia hiyo mara moja.

Akizungumza na Teentz.com muda mfupi uliopita Flora amefunguka kuwa yuko ndani ya uhusiano wa mapenzi na H-Baba lakini haja wahi kuona tatizo lolote kuhusiana na mapenzi na anahisi Irene Uwoya kuna kitu anakimiss kwa H- Baba ndiyo sababu haishi kumsema ovyo kila anapokwenda.

Kwa mengi zaidi Bonyeza Video hiyo kusikia alichokisema Flora akimchana Irene Uwoya

                                              Stori na Dismas Ten

Views: 3100

Tags: AMCHANA, FLORA, H-BABA, KUHUSU, MVUNGI, NI, UWOYA

Comment

You need to be a member of TEEN TZ to add comments!

Join TEEN TZ

Comment by Alpha Mhagama on October 6, 2012 at 12:04pm

vp ni dada po a?

Comment by sharrif Maulidi Ambari on July 19, 2012 at 10:31am

.....mmmmhhhhh...wakubwa wanafaidi!

Comment by Rajabu Inzari Senzia on July 5, 2012 at 1:11pm

hovyoooooo.

Comment by CHE OSWARD on July 3, 2012 at 11:37am

duh..!sasa ndio nimemuelewa vzr ney wa mitego kuwa makahaba wote wapo BONGO MOVIE,hivi kweli?

Comment by angela sijale on June 30, 2012 at 11:35pm

hili pouse binafsi sijalipenda kabisa..!!

Comment by Gastor lyimo on June 30, 2012 at 5:03pm

daaaa tafuta hata pozi basi unamkalia nani uchi ndo maana.........................

Comment by wayne augustine muyambo on June 29, 2012 at 4:44pm

yoohhhhh!

Comment by Ester Antapa on June 29, 2012 at 4:14pm

ulikosa poz ndug mbona una2onyesha mapozi unayo2mia kumtega H-BB?????.....jistir msichana ndomana Ney wa mitego kawachana alf mnalalamika amewadhalilisha  oooh sie kioo cha jamii, hivii????

Comment by mody on June 29, 2012 at 12:39am

panua paja mkwaju waja mtu mzima jistiri

Comment by stephen mwanyonga on June 28, 2012 at 11:26pm

nothing new.........tumewazoea dada zetu.....

G5 CLICK - LATEST NEWS

LUDACRIS AACHIA MIXTAPE SIKU MOJA NA MOVIE ALIYOSHIRIKI "FAST AND FURIOUS 6"

Rapper LudaCris amedondosha moxtape yake mpya leo kupitia Datpiff.com ikiwa ni siku moja na release ya movie aliyoshiriki 'fast and furious 6', mixtape hiyo ina nyimbo10 na tayari ishadondoka leo hii, pichani ni cover yenye track list ya nyimbo hizo.…


 

© 2013   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service