
Staa wa Hip Hop Bongo, Godzilla, ameukosoa mfumo wa elimu uliopo nchini ambao anadai hautengenezi wataalam wa kutosha kutokana na kutokuwepo kwa shule zinazofuatailia vipaji vya watoto
Akizungumza na Teentz.com Zilla anayefahamika kama mfalme wa Salasala amefunguka kuwa mfumo wa Elimu ya Kibongo inabidi ubadilishwe. ili kutoa nafasi kwa kupevushwa kwa vipaji vingi ambavyo hivi sasa vinapotea kutokana na mfumo bwege wa elimu yetu
"Elimu ni ndefu sana na kibaya zaidi haiko katika kutengeneza wataalam(Experts). Mfano mtu kasoma hadi darasa la 7 akafeli na mtu aliyesoma hadi Form6 akafeli wote wanakuwa sawa coz hawaajiliwi popote hii ina maana kuwa miaka yote imepotea bure. Zamani kulikuwa hadi na darasa la 4 la mkoloni wazee waliokifika la 4 wakamaliza fresh ukikaa nao mwenyewe utazima zako wako vizuri usipime alisema Zilla.
STORI NA DISMAS TEN 0718489260
htytddffdskd posted a status
htytddffdskd posted a status
htytddffdskd posted a status
htytddffdskd posted a status© 2013 Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.
You need to be a member of TEEN TZ to add comments!
Join TEEN TZ