

Huu ni mfano wa Jukwaa la Serengeti fiesta 2012 ambalo pia mkali kutoka Frolida Marekani Rick Rozay atakanyanga kwa ajili ya kuwapa shangwe mwapenda burudani wote katika nchi hii ya Jk ambao watajitokeza katika viwanja vya Leaders Kindondoni jijini Dar akiwa sambamba na wakali kibao kutoka bongo Fleva.
Bhaaaaaass

Rapper LudaCris amedondosha moxtape yake mpya leo kupitia Datpiff.com ikiwa ni siku moja na release ya movie aliyoshiriki 'fast and furious 6', mixtape hiyo ina nyimbo10 na tayari ishadondoka leo hii, pichani ni cover yenye track list ya nyimbo hizo.…
Innocent msonga commented on Teen Newz's blog post UHURU KENYATTA KUTUMIA CHOPPER KUPUNGUZA FOLENIAdded by itandfun on May 25, 2013
Added by miste on January 25, 2013
© 2013 Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.
You need to be a member of TEEN TZ to add comments!
Join TEEN TZ