TEEN TZ

JUKWAA LA SERENGETI FIESTA 2012 LITAKUWA KAMA HIVI

Huu ni mfano wa Jukwaa la  Serengeti fiesta 2012 ambalo pia  mkali kutoka  Frolida Marekani Rick Rozay atakanyanga  kwa ajili ya  kuwapa  shangwe mwapenda burudani wote katika nchi hii ya Jk ambao watajitokeza  katika viwanja vya Leaders Kindondoni jijini Dar akiwa  sambamba na wakali kibao kutoka  bongo Fleva.

Bhaaaaaass

Views: 1111

Tags: 2012, FIESTA, HIVI, JUKWAA, KAMA, LA, LITAKUWA, SERENGETI

Comment

You need to be a member of TEEN TZ to add comments!

Join TEEN TZ

G5 CLICK - LATEST NEWS

LUDACRIS AACHIA MIXTAPE SIKU MOJA NA MOVIE ALIYOSHIRIKI "FAST AND FURIOUS 6"

Rapper LudaCris amedondosha moxtape yake mpya leo kupitia Datpiff.com ikiwa ni siku moja na release ya movie aliyoshiriki 'fast and furious 6', mixtape hiyo ina nyimbo10 na tayari ishadondoka leo hii, pichani ni cover yenye track list ya nyimbo hizo.…


 

© 2013   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service