TEEN TZ

Habari za uhakika zinadai kuwa ndege ya ATCL namba TC 100 ambayo ilikuwa imeondoka Dar mapema asubuhi ya leo (July 18) kuelekea Mwanza ikipitia KIA imepasuka kioo.

Taarifa zimedai kuwa kioo hicho kilipasuka wakati ndege hiyo ikijiandaa kwenda Mwanza baada ya kuwa imeshatua KIA. Kioo kilichopasuka ni kile cha pembeni kwa rubani upande wa kushoto kwa mujibu wa vyanzo.

Kutokana na tukio hilo ndege hiyo ilizuiwa kuruka hadi pale marekebisho ya kioo hicho yangefanyika. Haijajulikana iwapo imesharuhusiwa ama bado. Source: Jamii Forums.

Views: 421

Tags: ATC, KIOO, NDEGE, YA, YAPASUKA

Comment

You need to be a member of TEEN TZ to add comments!

Join TEEN TZ

Comment by Ansifrid R. J. Lekundayo on July 19, 2012 at 7:28pm

hiv bongo haya mambo lin yataisha jaman?

Comment by SALEHE AHMAD SALEHE on July 18, 2012 at 3:54pm

mwaka wa tabu ni wa tabu 2.

 

G5 CLICK - LATEST NEWS

Advertisement


TOP PHOTOS

2. Snapshot_20121007_7

Added by Dee on October 9, 2012

3. geek

Added by Fathima on June 8, 2012

 

© 2013   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service