
SHOO ya nyota wa muziki wa kizazi kipya Bongo Naseeb Abdul 'Diamond' imeingia katka kitabu cha matukio yaliyokusanya watu wengi zaidi katika historia ya mji wa songea na mkoa wa Ruvuma kwa ujumla.
Akizungumza na Teentz.com mapema leo Mkurugenzi wa Jambo Lee Club ambayo iliratibu ziara nzima ya mwanamuziki huyo amesema kuwa shoo ya Diamond imevunja rekodi na kuingia kwenye kumbukumbu za watu kwa kujaza watu wengi na pia ikiwa ni shoo pekee iliyokuwa na msismko mkubwa kuliko hata inavyokuwa wakati wa michezo ya soka inayozihusisha timu kubwa na Simba na Yanga zinapokuja kucheza Songea.
"Shoo imefunika hakika haijawahi kutokea, watu kujaa kwa wingi kiasi kile katika shoo za muziki hii imevunja rekodi, kwa kweli kama waratibu tumefarijika sana kuona watu wamejitokeza kwa wingi, kwani hatukutegemea ingawa msisimko uliokuwepo kabla ulikuwa mkubwa kuliko hata ule unaokuwepo wakati Simba na Yanga zikija kucheza hapa Songea" alisema Mukugenzi huyo.
Comment
Comment by Tumaini Chanyika on July 7, 2012 at 10:22am 'huu kweli mda wake.................
Comment by ngosha leonard muhoja on July 6, 2012 at 12:41am
Comment by Baraka Mngazija on July 5, 2012 at 4:46pm ilikuwa balaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Comment by chama-baby on July 4, 2012 at 12:52pm ts his time now like Mr Nice dat time n now disappear, lol, h has to pul up his stocks otherwise lost in the game.
nice.
Comment by Tally Fuji on July 4, 2012 at 12:36pm There is little doubt that you have to locate an unexpected source of Raspberry Ketone Supplement is that it gives you just enough Raspberry Ketone Supplement. Inescapably, if you actually reckon about it, how good is Raspberry Ketone Supplement? That is it, pure and simple. This was remarkable craftsmanship. I, professedly, must know Raspberry Ketone Supplement. We'll cut down the problem down to size. Even then, you don't have to overdo it. This was only a portion of Raspberry Ketone Supplement. See, it will take more time with Raspberry Ketone Supplement, although you get the idea.
Comment by abdallawaziri on July 4, 2012 at 11:35am Hiphop staa wa Tanzania Albert Mangweha alifariki dunia akiwa Afrika Kusini May 28 2013 ambapo mpaka sasa chanzo cha kifo chake hakijajulikana na siku…
© 2013 Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.
You need to be a member of TEEN TZ to add comments!
Join TEEN TZ