TEEN TZ

WAKALI KIBAO WAMSINDIKIZA CHID BENZ CLUB MAISHA

Licha ya  kuwa  ilikuwa ni shoo maalumu kwa mkali wa  michano Bongo Rashird Makwilo Chid  Benz, wakali kibao kutoka  tasnia ya muziki wa  kizazi kipya  Bongo walijitokeza kutoa  sapoti ya  nguvu kwa  nyota  huyo aliyewahi  kushinda  mara mbili  tuzo ya mwanamuziki bora wa Hip Hop hapa  Bongo.

Miongoni mwa  mastaa waliokuwepo kwenye shoo hiyo ni pamoja na mkali wa viuno Khalid Mohamed T.I.D 'Mnyamaa' , Albert Mangwea 'Ngwear' na  wengine  Kibao  shuhudia  kupitia picha  hizo

T.I.D mnyaamaa akiwakilisha

SARAHA WA  FUNDI SAMWENGA.... NAYE KAMA  KAWA ALITISHA

IZZO B.

(Mzee wa Bistola) 2NDAMAN  ALIKUWEPO

DALLAS (A.K.A SUMAKU) KAMA KAWAIDA NA TOTOZ  MBILI MATATA

(LEKA DUTIGITE) LINEX.

AMBWENE YESSAYAH (AY)

Views: 409

Tags: BENZ, CHID, CLUB, KIBAO, MAISHA, WAKALI, WAMSINDIKIZA

Comment

You need to be a member of TEEN TZ to add comments!

Join TEEN TZ

Comment by JULIUS on October 7, 2012 at 4:24pm

poa sana man chid naona shavu kubwa toka kaw anyamwez

Comment by emmanuel mushi on October 4, 2012 at 10:57am

budah chidbenz ametsha one love broo

Comment by chama-baby on October 4, 2012 at 9:25am

kul!

G5 CLICK - LATEST NEWS

LUDACRIS AACHIA MIXTAPE SIKU MOJA NA MOVIE ALIYOSHIRIKI "FAST AND FURIOUS 6"

Rapper LudaCris amedondosha moxtape yake mpya leo kupitia Datpiff.com ikiwa ni siku moja na release ya movie aliyoshiriki 'fast and furious 6', mixtape hiyo ina nyimbo10 na tayari ishadondoka leo hii, pichani ni cover yenye track list ya nyimbo hizo.…


 

© 2013   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service