
Loading feed

Loading feed
Started by Teen Newz in Love. Last reply by Ahmedy king Ramsay yesterday. 8 Replies 3 Likes
Started by Teentz - Full Mikogo in Love. Last reply by Cheap NHL Jerseys,Wholesale NHL May 7. 48 Replies 41 Likes
Posted by Teen Newz on May 20, 2013 at 4:30am 0 Comments 0 Likes
Posted by Teen Newz on May 19, 2013 at 4:30am 2 Comments 0 Likes
Posted by Teen Newz on May 18, 2013 at 4:30pm 0 Comments 1 Like
Posted by Teen Newz on May 16, 2013 at 1:30am 2 Comments 0 Likes
Posted by Teen Newz on May 17, 2013 at 5:30pm 1 Comment 1 Like
Baada ya kuwekwa benchi since 2007 kama tajiri namba moja duniani,Founder wa Microsoft corporation
Bill Gates amerudi tena kwenye namba yake,namba iliyokuwa ikishikiliwa na billionea wa Mexico,Carllos Slim
Kwa mujibu wa Bloomberg Billionaires Index,mabadiriko haya yamekuja baada ya utajiri wa Gates kuongezeka kwa asilimia 16% na Carllos kushuka kwa 14%
kwa sasa Gates atakuwa akiongoza matajiri wa dunia kwa utajiri wa $72.7billion.

Posted by Teen Newz on May 17, 2013 at 4:30pm 3 Comments 0 Likes

HII NDIO ILIMFANYA BABA WA TAIFA AKATAE MIALIKO YA MECHI ZA SOKA.1974?? TANZANIA vs SUDAN.ANAEKAGUA TIMU NI RAIS NIMEIRI WA SUDAN.HAO NI TAIFA STARS .NAHODHA NI ABDULRAHMAN JUMA KUTOKA KUSHOTO NI CHUMA,ZIMBWE WENGINE HAWAONEKANI VIZUR
Posted by Teen Newz on May 17, 2013 at 3:41pm 1 Comment 1 Like
Mala ya kwanza tulipomskia na kumwona kwenye kichupa chake cha KWASA KWASA,ni wachache waliomfahamu,pamoja na kufanya poa sana na kwasa kwasa Ghafra dada yetu akapotea,hakuonekana wala kusikika tena.
Jina lake la serikali anaitwa Tazneem Tarmohamed,jukwaani tunamfaham kama Tazneeem,mrembo mtanzania mwenye asili ya indian,wimbo wake wa kwasa kwasa unabaki kuwa one of the best bongo flava songs.
Amekuwa kimya kwa mda mlefu sasa pasipo kutoa kazi nyingine na hata kuonekana on media.
Exclusively TEENTZ imezungumza naye akiwa nchini CANADA ambako yuko kimasomoakiendelea pia na harakati zake za muziki ,tulitaka kujua kuhusu kama kuna ujio mpya wa kazi zake ama ndio keshitelekeza Bongo Fleva,huyu hapa Tazneem“I am releasing my new song,Tekenya in just few days so I wont be quite for much…

Posted by Teen Newz on May 16, 2013 at 2:30pm 6 Comments 0 Likes
Spack akiwa Tanzania na meneja wake
Anaitwa Spax Mselem but in Rwanda anafahamika zaidi kama Spack,ni moja ya wanamuzic wenye big name na heshima nchini Rwanda
na sasa yuko Kwa Jakaya kwa Rengo la kukuza mziki wake around East Africa na week iliyopita alikuwa ni moja ya wanamuzik waloperform kwenye uzinduzi wa singo ya Hemed
akikusanya mkwanja aliotuzwa kwenye show ya PHD
Mchizi ameshare one stage na wasanii wenye big name dunian…

Na Chande Abdallah
MSANII wa maigizo, Salma Jabu ‘Nisha,’ amedaiwa kuwatosa watoto yatima waliokuwa wakimsubiri baada ya kuweka ahadi kuwa angekwenda kuwatembelea na kuwapa msaada.…
Added by tanjin tareq on May 18, 2013
© 2013 Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.