TEEN TZ

Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

Music

Loading…

TOP VIDEOS

2. Nipe Nafasi

Added by Misana Mujinja on May 18, 2013

3. Nipe Nafasi

Added by Misana Mujinja on May 20, 2013

5. Nipe Nafasi

Added by Misana Mujinja on May 20, 2013

Advertisement

 

Videos

  • Add Videos
  • View All
 

Members

Advertisement

Blog Posts

MKENYA AMWANDIKIA OBAMA UJUMBE WA UTANI KWA KUTOITEMBELEA NCHI YAO

Posted by Teen Newz on May 24, 2013 at 1:41pm 0 Comments

Obama kuzitembelea nchi za Senegal,South Afrika na Jakaya land ni swala ambalo itawachukua mda mlefu sana kulichukulia poa,toka itoke habari ya Obama kutoenda kenya kwwa stayle tofauti wakenya wamekuwa wakionyesha hisia zao za kutopendezwa na kitendo hicho

Funga kazi ni Mkenya kutoka Kisumu Kumwandikia Obama ujumbe wa Utani akiblame Kitendo hicho kilichochukiza wakenya wengi

Usome hapo chini ujumbe huo ulisambaa sana kwenye mitandao ya kijamii duniani

Dear long distance kasin,

You refused to reply the letter that i sent through yahoo, i donno why, but sokey sorait. am assuming osama bin laden resurrected, hacked the network,…

UHURU KENYATTA KUTUMIA CHOPPER KUPUNGUZA FOLENI

Posted by Teen Newz on May 24, 2013 at 1:00pm 1 Comment

Tangu Uhuru Kenyatta aingie madarakani uongozi wake umekuwa uki make headline kila siku kwa mambo ambayo pengine hayajawahi kufanyika

ali make headline kwa kuweka idadi ndogo kabisa ya mawaziri pia Makamu wake Bwana Ruto kununuliwa Private Jet ya kifahari kwa ajili ya mizunguko yake ya kikazi

sasa basi ishu mpya ni kwamba ametangaza kutumia chopper la kijeshi{pichani} itakayokuwa ikimtoa ikulu mpaka Airport ikisemekana kuwa nia ni kuondoa foleni itakayokuwa ikisababishwa na msafala wake endapo atatumia magari..

Unauonaje utaratibu huu??

WEUSI KUJA NA N.G.O YA KUKUZA KIWANGO CHA UFAULU NCHINI

Posted by Teen Newz on May 24, 2013 at 12:30pm 1 Comment

Hakuna ambaye hakuguswa na matokeo mabaya ya kidato cha nne Tanzania.na pengine ndiyo sababu iliyowafanya team nzima ya Weusi kampuni kuja na wazo ambalo kama watanzania wote wenye nafasi watakuwa na mawazo kama hayo,elimu nchini itakuwa kwa level zingine kabisa

TEENTZ Exclusive imezungumza na msemaji wa Weusi,Nick wa 2 na kufunguka mpango mkubwa walionao wa kuanzisha NGO itakayojihusisha na kusaidia wanafunzi wa secondary kuongeza kiwango chao cha ufaulu

"Utaitwa "KIJIJI MAARIFA"Tunatalajia mpango huu uanze mwishoni mwa mwezi wa sita,kila kitu kiko kama tulivyopanga,na lengo kubwa ni kusaidia wanafunzi wa secondary katika swala zima la kuongeza kiwango cha ufaulu na pia kuondoa dhana ya kusoma kwa…

DIAMOND:HIZI NDIZO SABABU KWA NINI NAFANYA VIZURI

Posted by Teen Newz on May 23, 2013 at 1:30am 1 Comment

Mengi yamekuwa yakisemwa juu ya msanii ambae inaaminika ndiye mfalme wa muziki wa bongo fleva Wapo wanaosema anatumia nguvu za giza ikiwemo ushirikina na wapo wanaosema yuko powered na Imani ya Free mason ingawa TEENTZ tunaamini juhudi na kujituma ndiyo njia pekee ya mafanikio kwa chochote TEENTZ ilipiga story na Diamond na kueleza moja ya sababu kubwa why yuko juu na  na kila siku ananendelea kuwa juu tofauti na baadhi ya wanamzki wengine

1-"Mungu ndio kila kitu kwa maisha ya binadamu,so napenda kumtanguliza Mungu kwa kila nikifanyacho"

2-"Sipendi starehe,kutumia pesa…

KUNDI LA MUZIKI LA CAMP- MULLAH LAVUNJIKA

Posted by Teen Newz on May 23, 2013 at 12:00am 0 Comments

Ni kama mziki wa makundi East africa unaendelea kuonyesha umetushinda,we all know Camp Mullah,kundi la mziki toka kwa Uhuru Kenyatta lililofanya poa sana last year mpka kupelekea kupata chance ya kwenda kuwania tuzo kubwa za BET,na watu kuamini kua amekuja mkombozi wa kuupeleka kimataifa mziki wa Kenya na East afrika but confermed story toka area 254 zinasema kuwa kundi hilo limevunjiaka baada ya members wawili kujiondoa

                                                                       Miss Karun

Anaitwa Miss Karun na alifahamika kama malikia wa kundi na walimtegemea…

UPDATES VURUGU MTWARA:ENEO LILILOTENGWA KUJENGWA VIWANDA LINATEKETEA KWA MOTO

Posted by Teen Newz on May 22, 2013 at 7:04pm 0 Comments

Eneo lililotengwa kwa ajili ya viwanda likiteketea kwa moto. Eneo liko karibu na bahari. Lilikuwa linamilikwa na serikali na ujenzi chini ya kampuni kutoka Marekani ulikuwa unaendelea. Wazungu wamekusanya baadhi ya vitu vyao na kuondoka eneo hilo.

VURUGU MTWARA;SPIKA MAKINDA AAHIRISHA KIKAO CHA BUNGE JIONI HII

Posted by Teen Newz on May 22, 2013 at 6:38pm 1 Comment



Spika ameahirishwa bunge hadi kesho kutokana na hali ya Mtwara.

Spika kasema amepokea hali ya vurugu mtwara, hivyo bunge limeahirishwa ili kutoa fursa kwa kamati ya bunge kujadili suala hilo na serikali imetakiwa kutoa majibu katika kikao cha kesho.

Spika kasema kuwa wabunge wangependa kujadili hali ya Mtwara leo lakini watajadili nini wakati hata wao wabunge wamepata taarifa hizo kwenye vyombo vya habari? Hivyo, akaiagiza serikali kuleta majibu sahihi kesho bungeni na kuwaomba wabunge kuwa na subira hadi kesho na kisha akaahirisha bunge. Akahitimisha kwa kusema kamati ya bunge inakwenda kujadili suala hilo sasa…

BREAKING NEWZ:MTWARA HALI BADO TETE

Posted by Teen Newz on May 22, 2013 at 5:04pm 0 Comments

Hali imezidi kuwa mbaya katika Mji wa Mtwara na hivi punde watu wanaendelea kufanya uharibifu katika maeneo mbalimbali ya mji huo. Jengo moja ambalo linadaiwa kuwa ni ofisi ya CCM ya saba saba mkabala na chuo cha TIA limechomwa moto katika eneo la Majengo na daraja linalounganisha Lindi na Mtwara limevunjwa. Mbali na hayo pia nyumba ya mwandishi wa habari wa Shirika la Utangazaji la Tanzania (TBC) imechomwa moto. Katika Mji wa Mtwara milio ya mabomu na risasi ndio inayosikika kila kona. Jeshi la Polisi linajaribu kuwadhibiti vijana na watu wengine ambao wanafanya vurugu hizo.
TEENTZ inaendelea kukupa update kwa kila kitakachoendela,stay visting

Advertisement...

 
 
 


TOP PHOTOS

1. 4.u

Added by Rita on June 16, 2012

2. IMG_0040

Added by Aysher sas on April 15, 2013

3. roby with yung bro

Added by Robbyweezy John on May 22, 2013

 

Badge

Loading…

© 2013   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service