

Started by Teen Newz in Love. Last reply by dedan kimathi on Sunday. 18 Replies 6 Likes
Started by Teentz - Full Mikogo in Love. Last reply by fredy moses mwaisela Jun 11. 52 Replies 41 Likes
Posted by Teen Newz on June 19, 2013 at 4:12pm 0 Comments 0 Likes
Na Waandishi Wetu
MWANAHIP HOP Langa Kileo amezikwa Jumatatu iliyopita na mazishi yake yameacha maajabu kadhaa kwa baadhi ya waombolezaji kuanzia nyumbani kwao, Regency Estates, Mikocheni hadi alipokuwa akipelekwa Makaburi ya Kinondoni jijini Dar.
Mwili wa marehemu Langa Kileo.
MAAJABU
Shughuli za kuuaga mwili wake zilifanyika nyumbani kwao, Regency Estates. Wakati wa kuuaga mwili wa marehemu ulipowadia, mmoja wa washikaji wa Langa ambaye hakufahamika jina lake, aliinama na kuushika mwili wake uliokuwa ndani ya jeneza kisha akaupiga…

Posted by Teen Newz on June 19, 2013 at 4:11pm 1 Comment 0 Likes
Na Mwandishi Wetu
KUFUATIA kumtusi marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’ kuwa amekufa maskini, mmiliki wa akaunti inayodaiwa ni ya msanii Omary Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ katika mtandao wa Facebook, amewaomba msamaha Watanzania kwa kitendo chake hicho baada ya kumwagiwa mitusi.
Omary Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’.
Katika akaunti hiyo yenye jina la Ommy Dimpoz- Omary Faraji, mwishoni mwa wiki iliyopita ilijaa matusi na maneno makali yakimnanga jamaa huyo kwa kauli yake aliyoitoa hivi karibuni kwenye Tuzo za Kili.
Aliandika: “Binadamu ni…

Posted by Teen Newz on June 19, 2013 at 4:10pm 0 Comments 1 Like
Na Dustan Shekidele, Morogoro
MWENYEKITI wa Kamati ya Mashindano ya Miss Tanzania, Hashimu Lundenga Jumamosi iliyopita alimtimua mshiriki wa shindano la Redd’s Miss Morogoro 2013, Saphina Chumba (20) jukwaani wakati shindano hilo lilipokuwa likiendelea.
Mrembo Saphina Chumba akiwa jukwaani na vazi lililomtia matatani.
Tukio hilo lilitokea Jumamosi iliyopita katika Ukumbi wa Hoteli ya Kitalii ya Nashera mjini hapa wakati mrembo huyo alipokuwa akiwania kuvaa taji la mkoa huo.
Kisa cha mrembo huyo aliyevalia namba 5 kutimuliwa ni kukiuka…

Posted by Teen Newz on June 18, 2013 at 4:39pm 0 Comments 0 Likes
Posted by Teen Newz on June 18, 2013 at 1:55pm 0 Comments 0 Likes
Na Mwandishi Wetu
MWILI wa mwanamuziki Langa Kileo jana (Jumatatu) ulipumzishwa kwenye nyumba ya milele katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar lakini nyuma ya kifo chake kuna siri ambayo rafiki yake wa karibu (jina linahifadhiwa) mkazi wa Mikocheni A jijini Dar ameamua kuiweka hadharani.
Waombolezaji wakiuaga mwili wa Langa.
Akizungumza na Uwazi juzi, rafiki huyo wa marehemu alisema, siku chache kabla ya kifo chake alimfuata na kumwambia kuwa Israel mtoa roho anamtembelea usiku na anahisi siku si nyingi atamfuata mshikaji wake…

Posted by Teen Newz on June 18, 2013 at 1:54pm 2 Comments 2 Likes
Na Haruni Sanchawa
NI tukio la kuhuzunisha ambalo unaweza ukadhani ni hadithi ya kutunga lakini ukweli ni kwamba kijana mmoja anadaiwa kumuua dada yake baada ya kumpiga kama kibaka anavyopigwa mitaani.
Joyce Warioba a.k.a Mama Vai enzi za uhai wake.
Tukio hilo la kusikitisha lilitokea Alhamisi iliyopita maeneo ya Mlalakuwa-Mwenge, Dar baada…

Posted by Teen Newz on June 18, 2013 at 1:52pm 0 Comments 0 Likes
CHADEMA UK awali ya yote tunapenda kutoa pole kwa waTanzania na wapenzi wa CHADEMA waliopatwa na kukutwa na janga la kurushwa kwa bomu kwenye mkutano wa CHADEMA wa kuhitimisha shughuli za kampeni za uchaguzi wa madiwani huko Arusha. Tunatuma salam zetu kuwafariji wale wote walioguswa kwa namna moja ama nyingine katika jambo hili.
Kama waTanzania, tunapinga vikali na kukemea kitendo hichi kwa nguvu zetu zote. Mazingira na jinsi kitendo hichi kilivyotekelezwa tuna kila sababu ya kuamini kwamba hili ni tendo la kigaidi. Na kwa sababu hiyo ni jukumu la mamlaka (yaani serikali) na vyombo vyake vya dola kulinda na kuepusha matendo ya kigaidi kama haya.
CHADEMA ni chama kinachoongozwa na watu makini…

Posted by Teen Newz on June 18, 2013 at 1:51pm 1 Comment 0 Likes
Posted by Teen Newz on June 18, 2013 at 1:50pm 0 Comments 0 Likes
Tamasha kubwa la Usiku wa Matumaini litafanyika Julai 7 mwaka huu katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Tamasha hili si la kukosa!
Posted by Teen Newz on June 18, 2013 at 1:49pm 0 Comments 0 Likes
HUKU mwanamuziki wa Hip Hop Bongo, Langa Mangisen Kileo akitarajiwa kuzikwa leo katika makaburi ya Kinondoni, Dar, Ijumaa Wikienda limebaini kuwa vifo mfululizo vya mastaa huku wengine wakiwa wagonjwa sasa ni majanga, ingia ndani usome ripoti kamili ya kusikitisha.
Albert Kenneth Mangweha ‘Ngwea’.
KIFO CHA…

Hiphop staa wa Tanzania Albert Mangweha alifariki dunia akiwa Afrika Kusini May 28 2013 ambapo mpaka sasa chanzo cha kifo chake hakijajulikana na siku…
Michale Paul posted a status
Michale Paul posted a status© 2013 Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.