
Added by Teentz - Full Mikogo on September 6, 2012

Started by Teen Newz in Love. Last reply by u845tugeety7 yesterday. 10 Replies 3 Likes
Started by Teentz - Full Mikogo in Love. Last reply by u845tugeety7 yesterday. 51 Replies 41 Likes
Posted by Teen Newz on May 24, 2013 at 12:38am 0 Comments 0 Likes
Posted by Teen Newz on May 23, 2013 at 1:30am 1 Comment 0 Likes
Mengi yamekuwa yakisemwa juu ya msanii ambae inaaminika ndiye mfalme wa muziki wa bongo fleva Wapo wanaosema anatumia nguvu za giza ikiwemo ushirikina na wapo wanaosema yuko powered na Imani ya Free mason ingawa TEENTZ tunaamini juhudi na kujituma ndiyo njia pekee ya mafanikio kwa chochote TEENTZ ilipiga story na Diamond na kueleza moja ya sababu kubwa why yuko juu na na kila siku ananendelea kuwa juu tofauti na baadhi ya wanamzki wengine
1-"Mungu ndio kila kitu kwa maisha ya binadamu,so napenda kumtanguliza Mungu kwa kila nikifanyacho"
2-"Sipendi starehe,kutumia pesa…

Posted by Teen Newz on May 23, 2013 at 12:00am 0 Comments 0 Likes
Ni kama mziki wa makundi East africa unaendelea kuonyesha umetushinda,we all know Camp Mullah,kundi la mziki toka kwa Uhuru Kenyatta lililofanya poa sana last year mpka kupelekea kupata chance ya kwenda kuwania tuzo kubwa za BET,na watu kuamini kua amekuja mkombozi wa kuupeleka kimataifa mziki wa Kenya na East afrika but confermed story toka area 254 zinasema kuwa kundi hilo limevunjiaka baada ya members wawili kujiondoa
Miss Karun
Anaitwa Miss Karun na alifahamika kama malikia wa kundi na walimtegemea…

Posted by Teen Newz on May 22, 2013 at 7:04pm 0 Comments 0 Likes
Posted by Teen Newz on May 22, 2013 at 6:38pm 1 Comment 0 Likes
Spika ameahirishwa bunge hadi kesho kutokana na hali ya Mtwara.
Spika kasema amepokea hali ya vurugu mtwara, hivyo bunge limeahirishwa ili kutoa fursa kwa kamati ya bunge kujadili suala hilo na serikali imetakiwa kutoa majibu katika kikao cha kesho.
Spika kasema kuwa wabunge wangependa kujadili hali ya Mtwara leo lakini watajadili nini wakati hata wao wabunge wamepata taarifa hizo kwenye vyombo vya habari? Hivyo, akaiagiza serikali kuleta majibu sahihi kesho bungeni na kuwaomba wabunge kuwa na subira hadi kesho na kisha akaahirisha bunge. Akahitimisha kwa kusema kamati ya bunge inakwenda kujadili suala hilo sasa…

Posted by Teen Newz on May 22, 2013 at 5:04pm 0 Comments 0 Likes
Hali imezidi kuwa mbaya katika Mji wa Mtwara na hivi punde watu wanaendelea kufanya uharibifu katika maeneo mbalimbali ya mji huo. Jengo moja ambalo linadaiwa kuwa ni ofisi ya CCM ya saba saba mkabala na chuo cha TIA limechomwa moto katika eneo la Majengo na daraja linalounganisha Lindi na Mtwara limevunjwa. Mbali na hayo pia nyumba ya mwandishi wa habari wa Shirika la Utangazaji la Tanzania (TBC) imechomwa moto. Katika Mji wa Mtwara milio ya mabomu na risasi ndio inayosikika kila kona. Jeshi la Polisi linajaribu kuwadhibiti vijana na watu wengine ambao wanafanya vurugu hizo.
TEENTZ inaendelea kukupa update kwa kila kitakachoendela,stay visting
Posted by Teen Newz on May 22, 2013 at 4:30pm 0 Comments 0 Likes
Kampuni ya Azam Marine inatarajia kuleta boti mpya ya kisasa itakayoitwa Kilimanjaro 4,nchini, kuanzia ikiwa na uwezo wa kubeba abiria 700 na kutumia muda wa dakika 70 kwa safari moja ya kati ya Zanzibar na Dar es Salaam. boti hii itakidhi mahitaji ya wasafiri wa eneo hili kwa kuwa inabeba sifa zote, ambazo ni Usalama, Kasi zaidi na Unadhifu. Kilimanjaro 4 itaingia mwishoni mwa mwezi huu wa 5
Posted by Teen Newz on May 22, 2013 at 4:00pm 0 Comments 0 Likes
Posted by Teen Newz on May 22, 2013 at 3:42pm 0 Comments 0 Likes
Posted by Teen Newz on May 22, 2013 at 3:30pm 0 Comments 3 Likes
Habari zilizotufikia kutoka Mtwara zinaeleza kuwa kumeibuka vurugu ambazo zimepelekea mabomu ya machozi na risasi za moto kutumika baada ya Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kusomwa bungeni na kueleza kuwa mradi wa gesi Mtwara utatekelezwa bila kutaja faida za moja kwa moja watakazozipata wananchi hao.…

house greg posted a status© 2013 Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.