
Added by henry loftus on May 17, 2013
Added by Teentz - Full Mikogo on September 6, 2012

Started by Teen Newz in Love. Last reply by u845tugeety7 49 minutes ago. 9 Replies 3 Likes
Started by Teentz - Full Mikogo in Love. Last reply by u845tugeety7 46 minutes ago. 50 Replies 41 Likes
Posted by Teen Newz on May 21, 2013 at 3:35am 1 Comment 0 Likes
Posted by Teen Newz on May 21, 2013 at 3:00am 0 Comments 0 Likes
Posted by Teen Newz on May 21, 2013 at 2:00am 0 Comments 1 Like
kESHO NI SIKU YANGU YA KUZALIWA may 21. LAKINI KWA KUWA TAREHE HIYO NI SAWA NA TAREHE ILIYOTOKEA AJALI KUBWA ILIYOUA WATANZANIA WENGI KATIKA ZIWA VICTORIA AJALI YA MV BUKOBA. NA KWA KUWA MWAKA HUU NILIENDA KUSAFISHA MAKABURI YA WAHANGA HAO. MOJA KATI YA MIKAKATI NILIYOJIWEKEA BAADA YA KUFANYA USAFI HUO NI KUWA MWAKA HUU SITASHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA KWANGU BALI NITAITUMIA KUSALI NA KUWAOMBEA NDUGU ZETU WALIOKUFA MAJI may 21 1996
NAWAOMBA WATANZANIA KOKOTE WALIKO KUKUMBUKA KUWA MAKABURI YALE YANAHITAJI KUFANYIWA USAFI MARA KWA MARA NA KWA KUWA ENEO NI KUBWA SANA BASI UKIFANIKIWA KUFIKA MWANZA HATA KAMA UNATOKEA IRINGA AU MTWARA BASI JITAHIDI KUFIKA KULE UFANYE USAFI HATA KABURI MOJA TU. NASEMA HIVI KWA SABABU MIMI NA WENZANGU TULIPOENDA…

Posted by Teen Newz on May 21, 2013 at 2:39am 0 Comments 1 Like
Pengine Rapper Nay alikuwa na shauku sana na show yao hiyo na mpinzani wake wa mziki gani,Diamond ama pengine alikuwa akijali mda aliopaswa kuwa eneo la tukio.
Gari ya Nay ni hiyo Mark X nyeusi
Posted by Teen Newz on May 20, 2013 at 6:01pm 1 Comment 0 Likes
Mrisho Ngasa akiongea na waandishi wa habari leo makao makuu ya klabu ya Yanga baada ya kutambulishwa rasmi. (Picha na Yanga)
Katibu Mkuu wa klabu ya Young Africans Lawrence Lawrence Mwalusako leo amemtambulisha rasmi kwa waandishi wa habari mchezaji Mrisho Ngasa ambaye amerejea katika klabu yake ya zamani kufuatia kumalizika kwa mkataba wake wa miaka miatatu (3) dhidi ya timu ya Azam FC.
Akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu Mwalusako amesema Ngasa amerejea katika timu yake, alikuwa mchezaji wetu kwa muda mrefu kabla ya kuhamia katika timu ya Azam FC ambako alitumikia mkataba wa miaka 3 uliomalizika mwisho mwa msimu huu.
Naye mwenyekiti wa mashindano wa klabu ya Yanga Abdallah Bin Kleb amesema anashukuru kwa Ngasa kuamua kurudi nyumbani, kwani…

Posted by Teen Newz on May 20, 2013 at 4:30am 0 Comments 0 Likes
Posted by Teen Newz on May 19, 2013 at 4:30am 2 Comments 0 Likes
Posted by Teen Newz on May 18, 2013 at 4:30pm 0 Comments 1 Like
Posted by Teen Newz on May 16, 2013 at 1:30am 2 Comments 1 Like
u845tugeety7 replied to Teen Newz's discussion Kama Ungeambiwa Kuchagua Kua Mnyama Ungechagua Kua Mnyama Gani Na kwa Nini?Added by jenry jeny on May 20, 2013
Added by tanjin tareq on May 18, 2013
© 2013 Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.