TEEN TZ

Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

Music

Loading…

Advertisement

 

Videos

  • Add Videos
  • View All
 

Members

Advertisement

Forum

NI KWELI WANAWAKE WAMEWAZIDI WANAUME KWA MAMBO HAYA 10?

Started by Teen Newz in Love. Last reply by Ahmedy king Ramsay 14 hours ago. 8 Replies

Watoto wakiume wanatumia Mshiko wao wote kwa mademu afu mwisho wa siku wanalia.

Started by Teentz - Full Mikogo in Love. Last reply by Cheap NHL Jerseys,Wholesale NHL May 7. 48 Replies

Blog Posts

VIDEO&PICHA:HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA SHOW YA NAY WA MITEGO VS DIAMOND DAR LIVE

Posted by Teen Newz on May 19, 2013 at 4:30am 0 Comments

                                          Nay wa mitego ndani ya gari lake akielekea Dar live

                                          Nay akiingia ukumbini akiwa ameongozana na mchumba wake

                                                                  Diamond yeye akaingia hivi…

KWA MARA NYINGINE,BILL GATE NDIYE TAJIRI NAMBA MOJA DUNIANI

Posted by Teen Newz on May 17, 2013 at 5:30pm 1 Comment

Baada ya kuwekwa benchi   since 2007 kama tajiri namba moja duniani,Founder wa Microsoft corporation

Bill Gates amerudi tena kwenye namba yake,namba iliyokuwa ikishikiliwa na billionea wa Mexico,Carllos Slim

Kwa mujibu wa   Bloomberg Billionaires Index,mabadiriko haya yamekuja baada ya utajiri wa Gates kuongezeka kwa asilimia 16% na Carllos kushuka kwa 14%

kwa sasa Gates atakuwa akiongoza matajiri wa dunia kwa utajiri wa $72.7billion.

                                                                       Carllos…

PICHA:SIKU TAIFA STARS ILIPOCHEZA MECHI YA KIMATAIFA WAKIWA VIFUA WAZI

Posted by Teen Newz on May 17, 2013 at 4:30pm 2 Comments

HII NDIO ILIMFANYA BABA WA TAIFA AKATAE MIALIKO YA MECHI ZA SOKA.1974?? TANZANIA vs SUDAN.ANAEKAGUA TIMU NI RAIS NIMEIRI WA SUDAN.HAO NI TAIFA STARS .NAHODHA NI ABDULRAHMAN JUMA KUTOKA KUSHOTO NI CHUMA,ZIMBWE WENGINE HAWAONEKANI VIZUR

TAZNEEM SHE IS BACK

Posted by Teen Newz on May 17, 2013 at 3:41pm 1 Comment

Mala ya kwanza tulipomskia na kumwona kwenye kichupa chake cha KWASA KWASA,ni wachache waliomfahamu,pamoja na kufanya poa sana na kwasa kwasa Ghafra dada yetu akapotea,hakuonekana wala kusikika tena.

Jina lake la serikali anaitwa Tazneem Tarmohamed,jukwaani tunamfaham kama Tazneeem,mrembo mtanzania mwenye asili ya indian,wimbo wake wa kwasa kwasa unabaki kuwa one of the best bongo flava songs.

Amekuwa kimya kwa mda mlefu sasa pasipo kutoa kazi nyingine na hata kuonekana on media.

Exclusively TEENTZ imezungumza naye akiwa nchini CANADA ambako yuko kimasomoakiendelea pia na harakati zake za muziki ,tulitaka kujua kuhusu kama kuna ujio mpya wa kazi zake ama ndio keshitelekeza Bongo Fleva,huyu hapa Tazneem“I am releasing my new song,Tekenya in just few days so I wont be quite for much…

PICHA YA SIKU

Posted by Teen Newz on May 17, 2013 at 4:07pm 1 Comment

SPACK:MWANAMZIKI NA ACTOR ANAYEHESHIMIKA NCHINI RWANDA

Posted by Teen Newz on May 16, 2013 at 2:30pm 6 Comments

                                               Spack akiwa Tanzania na meneja wake

Anaitwa Spax Mselem but in Rwanda anafahamika zaidi kama Spack,ni moja ya wanamuzic wenye big name na heshima nchini Rwanda

na sasa yuko Kwa Jakaya kwa Rengo la kukuza mziki wake around East Africa na week iliyopita alikuwa ni moja ya wanamuzik waloperform kwenye uzinduzi wa singo ya Hemed

                                          akikusanya mkwanja aliotuzwa kwenye show ya PHD

Mchizi ameshare one stage na wasanii wenye big name dunian…

EXCLUSIVE:LINA NA AMINI WAMERUDIANA

Posted by Teen Newz on May 16, 2013 at 1:38pm 0 Comments

pengine msemo wa true love never die utakuwa unawahusu sana Linah na Amin,ambao couple yao ilimake headline sana baada ya kuvunjika miezi kibao iliyopita na kila mmoja ku move on na mahusiano mengine ambapoinafahamika kuwa kuwa Linah ana mchumba wake na wataoana soon lakini siku za karibuni ukaribu wa hawa wawili(Linah&Amin) ulianza kurudi na hata kufanya wimbo wa kushirikiana uitwao mtima wange na habari zisizothibitishwa zikaa zinasemwa eti wawili hawa wanafanya yao kimya kimya,TEENTZ ikaona isiwe taabu,kwani kuwavutia waya shi ngapi!!tulip tulipozungumza na Amini akatiririka mwenyewee kwamba wako in love tena na zilipendwa wake Linah na hata walichokiimba ndani nya mtima wange kinawahusu wao wenyewe,Exclusive Amini akafunguka hivi..

"Linah tuko pamoja tena kaka na…

YOU HEARD : JACKLINE WOLPER NA ALI KIBA WAKUTWA WAKI NONIHINO NDANI YA GARI / INASEMEKANA LAKINI

Posted by Teen Newz on May 16, 2013 at 7:53am 5 Comments

Taarifa ambazo zilifika mezani kwa muhariri wa Gazeti la makorokocho, kutoka chanzo kitakatifu zinasema kuwa eti mwanadada Jackline Wolper pamoja na Ali Kiba weekend iliyopita wakati wakiwa kwenye mechi kati ya wasanii wa Bongo Movie na Taswa, iliyofanyika pande za chang'ombe wawili hao walipigiwa chabo wakati wanaingia kwenye gari la promota Bonga likiwa na tinted kali, gari hilo halikuondoka uwanjani na likaonekana likinesa nesa katika mnuso usiokuwa wa kawaida / kwichi kwichi hali iliyoashiria kuwa kuna jambo zito la kimahaba linaendelea ndani ya gari hilo, baada ya madakika kibao kupita Ali kiba alifungua mlango kisha akatoka na kuanza kunawa mikono, patamu hapo , mwadada nae alipotokea macho yake yalikua yamelegea mekunduuu utadhani kala kungu, je ni kweli wawili hao walinonihino ama?

mskize…

Advertisement...

 
 
 

G5 CLICK - LATEST NEWS

Advertisement


TOP PHOTOS

1. Snapshot_20121007_7

Added by Dee on October 9, 2012

3. geek

Added by Fathima on June 8, 2012

 

Badge

Loading…

© 2013   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service