
| 1 |
u845tugeety7 |
| 2 |
tanjin tareq |
| 3 |
mothercodi |
| 4 |
Daniel Makuri |
| 5 |
SHABANI NGAYA |
| 6 |
iptsum aitham |
| 7 |
Godfrey Solomon |
| 8 |
Dee |
| 9 |
Moses Mfundo |
| 10 |
Gilbert Magnus |
Added by henry loftus on May 17, 2013
Added by Teentz - Full Mikogo on September 6, 2012

Started by Teen Newz in Love. Last reply by u845tugeety7 9 hours ago. 9 Replies 3 Likes
Started by Teentz - Full Mikogo in Love. Last reply by u845tugeety7 9 hours ago. 50 Replies 41 Likes
Posted by Teen Newz on May 22, 2013 at 6:12am 0 Comments 0 Likes
Upatapo ama ukiwa na bahati ya kuwa na uhakika wa kupata chakula mala 2 ama 3 kwa siku,uhakika wa sehemu nzuri na salama ya kuweka ubavu wako mshukuru sana mungu,itizame hiyo picha kuna watu wanaaishi hivyo,hawajui siku yaoinaaenzaje na itaishaje,hawajui watakula nini na sa ngapi.mala moja upatapo nafasi,kumbuka kusaidia wasiojiweza,usimpuuze asiye nacho,dunia ni zaidi ya uijuavyo,mambo hubadilika,ukajikuta leo unamwomba uliye mnyima jana
Posted by Teen Newz on May 22, 2013 at 5:26am 1 Comment 0 Likes
Kwa wafuatiliaji wa mambo,sote tunajua story ya Raisi mwenye nguvu duniani Barrack Obama kutembelea nchi 3 za africa na kutoenda nchini kenya ambako ni chimbuko lake
Richa ya Ikulu ya nchi hiyo kutosema main reason ya Obama kutoenda kenya lakini inasemwa kuwa,Mr president huyu wa Jay-Z hatoenda kenya kuepuka kukutana na Uhuru Kenyatta na Willium Ruto wanaokabiliwa na kesi ya ukiukwaji wa haki za binadamu kule the Hague.
ikumbukwe kuwa amewahi kwenda mala moja tu tena hata kabla hajawa Rais,swali la kujiuliza ni mbona Hakwenda hata kipindi cha mzeee Kibaki ambaye hakuwa na kesi yoyote?lets wait and see
na kwa asiyejua,tarehe 26 june mwaka huu Obama atazitembelea nchi za Tanzania,Senegal na South Africa akiambatana na mkewe,Michelle
ni ziara ambayo inaaminika itaingiza millions of…

Posted by Teen Newz on May 21, 2013 at 3:35am 1 Comment 0 Likes
Posted by Teen Newz on May 21, 2013 at 3:00am 0 Comments 0 Likes
Posted by Teen Newz on May 21, 2013 at 2:00am 0 Comments 1 Like
kESHO NI SIKU YANGU YA KUZALIWA may 21. LAKINI KWA KUWA TAREHE HIYO NI SAWA NA TAREHE ILIYOTOKEA AJALI KUBWA ILIYOUA WATANZANIA WENGI KATIKA ZIWA VICTORIA AJALI YA MV BUKOBA. NA KWA KUWA MWAKA HUU NILIENDA KUSAFISHA MAKABURI YA WAHANGA HAO. MOJA KATI YA MIKAKATI NILIYOJIWEKEA BAADA YA KUFANYA USAFI HUO NI KUWA MWAKA HUU SITASHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA KWANGU BALI NITAITUMIA KUSALI NA KUWAOMBEA NDUGU ZETU WALIOKUFA MAJI may 21 1996
NAWAOMBA WATANZANIA KOKOTE WALIKO KUKUMBUKA KUWA MAKABURI YALE YANAHITAJI KUFANYIWA USAFI MARA KWA MARA NA KWA KUWA ENEO NI KUBWA SANA BASI UKIFANIKIWA KUFIKA MWANZA HATA KAMA UNATOKEA IRINGA AU MTWARA BASI JITAHIDI KUFIKA KULE UFANYE USAFI HATA KABURI MOJA TU. NASEMA HIVI KWA SABABU MIMI NA WENZANGU TULIPOENDA…

Posted by Teen Newz on May 21, 2013 at 2:39am 0 Comments 1 Like
Pengine Rapper Nay alikuwa na shauku sana na show yao hiyo na mpinzani wake wa mziki gani,Diamond ama pengine alikuwa akijali mda aliopaswa kuwa eneo la tukio.
Gari ya Nay ni hiyo Mark X nyeusi
Posted by Teen Newz on May 20, 2013 at 6:01pm 1 Comment 0 Likes
Mrisho Ngasa akiongea na waandishi wa habari leo makao makuu ya klabu ya Yanga baada ya kutambulishwa rasmi. (Picha na Yanga)
Katibu Mkuu wa klabu ya Young Africans Lawrence Lawrence Mwalusako leo amemtambulisha rasmi kwa waandishi wa habari mchezaji Mrisho Ngasa ambaye amerejea katika klabu yake ya zamani kufuatia kumalizika kwa mkataba wake wa miaka miatatu (3) dhidi ya timu ya Azam FC.
Akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu Mwalusako amesema Ngasa amerejea katika timu yake, alikuwa mchezaji wetu kwa muda mrefu kabla ya kuhamia katika timu ya Azam FC ambako alitumikia mkataba wa miaka 3 uliomalizika mwisho mwa msimu huu.
Naye mwenyekiti wa mashindano wa klabu ya Yanga Abdallah Bin Kleb amesema anashukuru kwa Ngasa kuamua kurudi nyumbani, kwani…

Posted by Teen Newz on May 20, 2013 at 4:30am 0 Comments 0 Likes
Posted by Teen Newz on May 19, 2013 at 4:30am 2 Comments 0 Likes
livehoba posted a statusAdded by tanjin tareq on May 18, 2013
© 2013 Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.