
Added by henry loftus on May 17, 2013
Added by Teentz - Full Mikogo on September 6, 2012

Started by Teen Newz in Love. Last reply by Ahmedy king Ramsay 14 hours ago. 8 Replies 3 Likes
Started by Teentz - Full Mikogo in Love. Last reply by Cheap NHL Jerseys,Wholesale NHL May 7. 48 Replies 41 Likes
Posted by Teen Newz on May 19, 2013 at 4:30am 0 Comments 0 Likes
Posted by Teen Newz on May 18, 2013 at 4:30pm 0 Comments 0 Likes
Posted by Teen Newz on May 16, 2013 at 1:30am 2 Comments 0 Likes
Posted by Teen Newz on May 17, 2013 at 5:30pm 1 Comment 0 Likes
Baada ya kuwekwa benchi since 2007 kama tajiri namba moja duniani,Founder wa Microsoft corporation
Bill Gates amerudi tena kwenye namba yake,namba iliyokuwa ikishikiliwa na billionea wa Mexico,Carllos Slim
Kwa mujibu wa Bloomberg Billionaires Index,mabadiriko haya yamekuja baada ya utajiri wa Gates kuongezeka kwa asilimia 16% na Carllos kushuka kwa 14%
kwa sasa Gates atakuwa akiongoza matajiri wa dunia kwa utajiri wa $72.7billion.

Posted by Teen Newz on May 17, 2013 at 4:30pm 2 Comments 0 Likes

HII NDIO ILIMFANYA BABA WA TAIFA AKATAE MIALIKO YA MECHI ZA SOKA.1974?? TANZANIA vs SUDAN.ANAEKAGUA TIMU NI RAIS NIMEIRI WA SUDAN.HAO NI TAIFA STARS .NAHODHA NI ABDULRAHMAN JUMA KUTOKA KUSHOTO NI CHUMA,ZIMBWE WENGINE HAWAONEKANI VIZUR
Posted by Teen Newz on May 17, 2013 at 3:41pm 1 Comment 1 Like
Mala ya kwanza tulipomskia na kumwona kwenye kichupa chake cha KWASA KWASA,ni wachache waliomfahamu,pamoja na kufanya poa sana na kwasa kwasa Ghafra dada yetu akapotea,hakuonekana wala kusikika tena.
Jina lake la serikali anaitwa Tazneem Tarmohamed,jukwaani tunamfaham kama Tazneeem,mrembo mtanzania mwenye asili ya indian,wimbo wake wa kwasa kwasa unabaki kuwa one of the best bongo flava songs.
Amekuwa kimya kwa mda mlefu sasa pasipo kutoa kazi nyingine na hata kuonekana on media.
Exclusively TEENTZ imezungumza naye akiwa nchini CANADA ambako yuko kimasomoakiendelea pia na harakati zake za muziki ,tulitaka kujua kuhusu kama kuna ujio mpya wa kazi zake ama ndio keshitelekeza Bongo Fleva,huyu hapa Tazneem“I am releasing my new song,Tekenya in just few days so I wont be quite for much…

Posted by Teen Newz on May 16, 2013 at 2:30pm 6 Comments 0 Likes
Spack akiwa Tanzania na meneja wake
Anaitwa Spax Mselem but in Rwanda anafahamika zaidi kama Spack,ni moja ya wanamuzic wenye big name na heshima nchini Rwanda
na sasa yuko Kwa Jakaya kwa Rengo la kukuza mziki wake around East Africa na week iliyopita alikuwa ni moja ya wanamuzik waloperform kwenye uzinduzi wa singo ya Hemed
akikusanya mkwanja aliotuzwa kwenye show ya PHD
Mchizi ameshare one stage na wasanii wenye big name dunian…

Posted by Teen Newz on May 16, 2013 at 1:38pm 0 Comments 0 Likes
pengine msemo wa true love never die utakuwa unawahusu sana Linah na Amin,ambao couple yao ilimake headline sana baada ya kuvunjika miezi kibao iliyopita na kila mmoja ku move on na mahusiano mengine ambapoinafahamika kuwa kuwa Linah ana mchumba wake na wataoana soon lakini siku za karibuni ukaribu wa hawa wawili(Linah&Amin) ulianza kurudi na hata kufanya wimbo wa kushirikiana uitwao mtima wange na habari zisizothibitishwa zikaa zinasemwa eti wawili hawa wanafanya yao kimya kimya,TEENTZ ikaona isiwe taabu,kwani kuwavutia waya shi ngapi!!tulip tulipozungumza na Amini akatiririka mwenyewee kwamba wako in love tena na zilipendwa wake Linah na hata walichokiimba ndani nya mtima wange kinawahusu wao wenyewe,Exclusive Amini akafunguka hivi..
"Linah tuko pamoja tena kaka na…

Posted by Teen Newz on May 16, 2013 at 7:53am 5 Comments 0 Likes
Taarifa ambazo zilifika mezani kwa muhariri wa Gazeti la makorokocho, kutoka chanzo kitakatifu zinasema kuwa eti mwanadada Jackline Wolper pamoja na Ali Kiba weekend iliyopita wakati wakiwa kwenye mechi kati ya wasanii wa Bongo Movie na Taswa, iliyofanyika pande za chang'ombe wawili hao walipigiwa chabo wakati wanaingia kwenye gari la promota Bonga likiwa na tinted kali, gari hilo halikuondoka uwanjani na likaonekana likinesa nesa katika mnuso usiokuwa wa kawaida / kwichi kwichi hali iliyoashiria kuwa kuna jambo zito la kimahaba linaendelea ndani ya gari hilo, baada ya madakika kibao kupita Ali kiba alifungua mlango kisha akatoka na kuanza kunawa mikono, patamu hapo , mwadada nae alipotokea macho yake yalikua yamelegea mekunduuu utadhani kala kungu, je ni kweli wawili hao walinonihino ama?
mskize…

Added by tanjin tareq on May 18, 2013
© 2013 Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.