TEEN TZ

Photos

Loading…
  • Add Photos
  • View All

Music

Loading…

Advertisement

 

Videos

  • Add Videos
  • View All
 

Members

Advertisement

Blog Posts

DIAMOND NA NAY WA MITEGO KUPAMBANA TENA NDANI YA MAISHA CLUB

Posted by Teen Newz on May 22, 2013 at 2:00pm 0 Comments

Baada ya mpambano kufanyika Dar live kumtafuta nani anafanya mziki wa kweli between hip hop na wale mchele mchele(bongo fleva)na kukosekana mshindi ishu nzima inahamia Maisha club,show ikiwa tofauti kabisa na zilizopita,hapa kutakuwa na black carpet kwa Hip hop wakiongozwa na Nay wa mitego,pembeni white carpet kwa wana bongo fleva wakiongozwa na the president,Diamond platnumz.
kiingilio na mda vyote vinasomeka kwenye picha hapo juu,na kama jadi yetu,TEENTZ tutakuwa wa kwanza kukuletea picha yote ya kilichofanyika,Stay visting

TAFAKARI PICHA HII KISHA UCHUKUE HATUA

Posted by Teen Newz on May 22, 2013 at 6:00am 0 Comments

Upatapo ama ukiwa na bahati ya kuwa na uhakika wa kupata chakula mara 2 ama 3 kwa siku,uhakika wa sehemu nzuri na salama ya kuweka ubavu wako mshukuru sana mungu,itizame hiyo picha kuna watu wanaaishi hivyo,hawajui siku yao inaaenzaje na itaishaje,hawajui watakula nini na sa ngapi.mala moja upatapo nafasi,kumbuka kusaidia wasiojiweza,usimpuuze asiye nacho,dunia ni zaidi ya uijuavyo,mambo hubadilika,ukajikuta leo unamwomba uliye mnyima jana...

HII INAWEZA KUWA NDIYO REASON KWA NINI OBAMA HATOENDA KENYA

Posted by Teen Newz on May 22, 2013 at 5:26am 1 Comment

Kwa wafuatiliaji wa mambo,sote tunajua story ya Raisi mwenye nguvu duniani Barrack Obama kutembelea nchi 3 za africa na kutoenda nchini kenya ambako ni chimbuko lake

Richa ya Ikulu ya nchi hiyo kutosema main reason ya Obama kutoenda kenya lakini inasemwa kuwa,Mr president huyu wa Jay-Z hatoenda kenya kuepuka kukutana na Uhuru Kenyatta na Willium Ruto wanaokabiliwa na kesi ya ukiukwaji wa haki za binadamu kule the Hague.

ikumbukwe kuwa amewahi kwenda mala moja tu tena hata kabla hajawa Rais,swali la kujiuliza ni mbona Hakwenda hata kipindi cha mzeee Kibaki ambaye hakuwa na kesi yoyote?lets wait and see

na kwa asiyejua,tarehe 26 june mwaka huu Obama atazitembelea nchi za Tanzania,Senegal na South Africa akiambatana na mkewe,Michelle

ni ziara ambayo inaaminika itaingiza millions of…

DIAMOND ATOKA NA MTINDO MPYA WA NYWELE

Posted by Teen Newz on May 21, 2013 at 3:00am 0 Comments

                                                                         Mtindo wake mpya

Siku zote Diamond amekuwa akijaribu kutoka na mitindo tofauti ya mavazi yanayokuwa yakimtambulisha kwenye showz zake,lakini siyo kubadili mtindo wa nywere tangu aanze mziki ,na sasa amekuja kitofauti kwa  kutia rangi ya goldish kwenye…

LEO IKIWA NI SIKU YA KUMBUKUMBU YA AJALI YA MV BUKOBA,KALLA JEREMIAH KAKUANDIKIA UJUMBE HUU

Posted by Teen Newz on May 21, 2013 at 2:00am 0 Comments

kESHO NI SIKU YANGU YA KUZALIWA may 21. LAKINI KWA KUWA TAREHE HIYO NI SAWA NA TAREHE ILIYOTOKEA AJALI KUBWA ILIYOUA WATANZANIA WENGI KATIKA ZIWA VICTORIA AJALI YA MV BUKOBA. NA KWA KUWA MWAKA HUU NILIENDA KUSAFISHA MAKABURI YA WAHANGA HAO. MOJA KATI YA MIKAKATI NILIYOJIWEKEA BAADA YA KUFANYA USAFI HUO NI KUWA MWAKA HUU SITASHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA KWANGU BALI NITAITUMIA KUSALI NA KUWAOMBEA NDUGU ZETU WALIOKUFA MAJI may 21 1996

NAWAOMBA WATANZANIA KOKOTE WALIKO KUKUMBUKA KUWA MAKABURI YALE YANAHITAJI KUFANYIWA USAFI MARA KWA MARA NA KWA KUWA ENEO NI KUBWA SANA BASI UKIFANIKIWA KUFIKA MWANZA HATA KAMA UNATOKEA IRINGA AU MTWARA BASI JITAHIDI KUFIKA KULE UFANYE USAFI HATA KABURI MOJA TU. NASEMA HIVI KWA SABABU MIMI NA WENZANGU TULIPOENDA…

NEED FOR SPEED??NAY WA MITEGO ALIVYOKUWA AKIDRIVE KWA KASI KUIWAHI SHO YAKE NA DIAMOND

Posted by Teen Newz on May 21, 2013 at 2:39am 0 Comments

Pengine Rapper Nay alikuwa na shauku sana na show yao hiyo na mpinzani wake wa mziki gani,Diamond ama pengine alikuwa akijali mda aliopaswa kuwa eneo la tukio.

Gari ya Nay ni hiyo Mark X nyeusi

MRISHO NGASA ATAMBULISHWA RASMI YANGA

Posted by Teen Newz on May 20, 2013 at 6:01pm 2 Comments

Mrisho Ngasa akiongea na waandishi wa habari leo makao makuu ya klabu ya Yanga baada ya kutambulishwa rasmi. (Picha na Yanga)

Katibu Mkuu wa klabu ya Young Africans Lawrence Lawrence Mwalusako leo amemtambulisha rasmi kwa waandishi wa habari mchezaji Mrisho Ngasa ambaye amerejea katika klabu yake ya zamani kufuatia kumalizika kwa mkataba wake wa miaka miatatu (3) dhidi ya timu ya Azam FC.

Akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu Mwalusako amesema Ngasa amerejea katika timu yake, alikuwa mchezaji wetu kwa muda mrefu kabla ya kuhamia katika timu ya Azam FC ambako alitumikia mkataba wa miaka 3 uliomalizika mwisho mwa msimu huu.

Naye mwenyekiti wa mashindano wa klabu ya Yanga Abdallah Bin Kleb amesema anashukuru kwa Ngasa kuamua kurudi nyumbani, kwani…

Advertisement...

 
 
 

© 2013   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service