

Started by Teen Newz in Love. Last reply by dedan kimathi on Sunday. 18 Replies 6 Likes
Started by Teentz - Full Mikogo in Love. Last reply by fredy moses mwaisela Jun 11. 52 Replies 41 Likes
Posted by Teen Newz on June 18, 2013 at 4:39pm 0 Comments 0 Likes
Posted by Teen Newz on June 18, 2013 at 1:55pm 0 Comments 0 Likes
Na Mwandishi Wetu
MWILI wa mwanamuziki Langa Kileo jana (Jumatatu) ulipumzishwa kwenye nyumba ya milele katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar lakini nyuma ya kifo chake kuna siri ambayo rafiki yake wa karibu (jina linahifadhiwa) mkazi wa Mikocheni A jijini Dar ameamua kuiweka hadharani.
Waombolezaji wakiuaga mwili wa Langa.
Akizungumza na Uwazi juzi, rafiki huyo wa marehemu alisema, siku chache kabla ya kifo chake alimfuata na kumwambia kuwa Israel mtoa roho anamtembelea usiku na anahisi siku si nyingi atamfuata mshikaji wake…

Posted by Teen Newz on June 18, 2013 at 1:54pm 2 Comments 2 Likes
Na Haruni Sanchawa
NI tukio la kuhuzunisha ambalo unaweza ukadhani ni hadithi ya kutunga lakini ukweli ni kwamba kijana mmoja anadaiwa kumuua dada yake baada ya kumpiga kama kibaka anavyopigwa mitaani.
Joyce Warioba a.k.a Mama Vai enzi za uhai wake.
Tukio hilo la kusikitisha lilitokea Alhamisi iliyopita maeneo ya Mlalakuwa-Mwenge, Dar baada…

Posted by Teen Newz on June 18, 2013 at 1:52pm 0 Comments 0 Likes
CHADEMA UK awali ya yote tunapenda kutoa pole kwa waTanzania na wapenzi wa CHADEMA waliopatwa na kukutwa na janga la kurushwa kwa bomu kwenye mkutano wa CHADEMA wa kuhitimisha shughuli za kampeni za uchaguzi wa madiwani huko Arusha. Tunatuma salam zetu kuwafariji wale wote walioguswa kwa namna moja ama nyingine katika jambo hili.
Kama waTanzania, tunapinga vikali na kukemea kitendo hichi kwa nguvu zetu zote. Mazingira na jinsi kitendo hichi kilivyotekelezwa tuna kila sababu ya kuamini kwamba hili ni tendo la kigaidi. Na kwa sababu hiyo ni jukumu la mamlaka (yaani serikali) na vyombo vyake vya dola kulinda na kuepusha matendo ya kigaidi kama haya.
CHADEMA ni chama kinachoongozwa na watu makini…

Posted by Teen Newz on June 18, 2013 at 1:51pm 0 Comments 0 Likes
Posted by Teen Newz on June 18, 2013 at 1:50pm 0 Comments 0 Likes
Tamasha kubwa la Usiku wa Matumaini litafanyika Julai 7 mwaka huu katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Tamasha hili si la kukosa!
Posted by Teen Newz on June 18, 2013 at 1:49pm 0 Comments 0 Likes
HUKU mwanamuziki wa Hip Hop Bongo, Langa Mangisen Kileo akitarajiwa kuzikwa leo katika makaburi ya Kinondoni, Dar, Ijumaa Wikienda limebaini kuwa vifo mfululizo vya mastaa huku wengine wakiwa wagonjwa sasa ni majanga, ingia ndani usome ripoti kamili ya kusikitisha.
Albert Kenneth Mangweha ‘Ngwea’.
KIFO CHA…

Posted by Teen Newz on June 18, 2013 at 1:47pm 0 Comments 0 Likes
Halima Mdee na Idd Azan wakijifua mkoani Dodoma.
Mbunge wa Kawe, Halima Mdee na Idd Azan ambaye ni Mbunge wa Kinondoni, wameanza kujichua kwa ajili ya mapambano yao ya ndondi katika Tamasha la Matumaini 2013 litakalofanyika Julai 7 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Halima Mdee atazipiga na Jacqueline Wolper wakati Idd Azan akionyeshana ubabe na Jacob Steven 'JB'

Posted by Teen Newz on June 18, 2013 at 1:42pm 1 Comment 0 Likes
TUMSHUKURU Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku hii. Hakika Mungu ni mwema na anatupenda sana ndiyo maana tupo hapa leo.
Ndugu zangu, leo nitaizungumzia Bajeti ya Serikali ya Tanzania ambayo iliwasilishwa Bungeni wiki iliyopita ikieleza mapendekezo yake kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2013/14.
Katika mapendekezo hayo, serikali imepanga kutumia Shilingi trilioni 18,248,983 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na ya maendeleo. Kwa tafsiri yoyote ile, bajeti hiyo inaonyesha bayana kwamba siyo endelevu, kwani kati ya fedha hizo, Shilingi trilioni 12,575 zitakuwa za matumizi ya kawaida wakati Shilingi trilioni 5,674 tu ndizo zitatumika katika miradi ya…

Posted by Teen Newz on June 18, 2013 at 1:40pm 0 Comments 0 Likes
TAHARUKI BAADA YA MLIPUKO WA BOMU KATIKA MKUTANO WA CHADEMA JIJINI ARUSHA
Hiphop staa wa Tanzania Albert Mangweha alifariki dunia akiwa Afrika Kusini May 28 2013 ambapo mpaka sasa chanzo cha kifo chake hakijajulikana na siku…
© 2013 Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.