

Started by Teen Newz in Love. Last reply by heriel ratsim 5 hours ago. 11 Replies 3 Likes
Started by Teentz - Full Mikogo in Love. Last reply by u845tugeety7 yesterday. 51 Replies 41 Likes
Posted by Teen Newz on May 24, 2013 at 2:34pm 0 Comments 0 Likes
Posted by Teen Newz on May 24, 2013 at 2:00pm 0 Comments 0 Likes

Sausages kill, new study warnsWhile Tanzanians are getting increasingly fond of sausages, a recent research has linked them with early deaths from cancer and heart diseases.People who regularly eat a helping of more 160 grammes – the equivalent of about three sausages – have much greater chance of dying prematurely compared to those who don’t touch the delicacy, the study , based on findings in 10 European countries, point out.
Source by:
The Citizen
Posted by Teen Newz on May 24, 2013 at 1:41pm 0 Comments 0 Likes
Obama kuzitembelea nchi za Senegal,South Afrika na Jakaya land ni swala ambalo itawachukua mda mlefu sana kulichukulia poa,toka itoke habari ya Obama kutoenda kenya kwwa stayle tofauti wakenya wamekuwa wakionyesha hisia zao za kutopendezwa na kitendo hicho
Funga kazi ni Mkenya kutoka Kisumu Kumwandikia Obama ujumbe wa Utani akiblame Kitendo hicho kilichochukiza wakenya wengi
Usome hapo chini ujumbe huo ulisambaa sana kwenye mitandao ya kijamii duniani
Dear long distance kasin,
You refused to reply the letter that i sent through yahoo, i donno why, but sokey sorait. am assuming osama bin laden resurrected, hacked the network,…

Posted by Teen Newz on May 24, 2013 at 1:24pm 1 Comment 0 Likes
Posted by Teen Newz on May 24, 2013 at 1:00pm 1 Comment 0 Likes
Tangu Uhuru Kenyatta aingie madarakani uongozi wake umekuwa uki make headline kila siku kwa mambo ambayo pengine hayajawahi kufanyika
ali make headline kwa kuweka idadi ndogo kabisa ya mawaziri pia Makamu wake Bwana Ruto kununuliwa Private Jet ya kifahari kwa ajili ya mizunguko yake ya kikazi
sasa basi ishu mpya ni kwamba ametangaza kutumia chopper la kijeshi{pichani} itakayokuwa ikimtoa ikulu mpaka Airport ikisemekana kuwa nia ni kuondoa foleni itakayokuwa ikisababishwa na msafala wake endapo atatumia magari..
Unauonaje utaratibu huu??
Posted by Teen Newz on May 24, 2013 at 12:30pm 1 Comment 0 Likes
Hakuna ambaye hakuguswa na matokeo mabaya ya kidato cha nne Tanzania.na pengine ndiyo sababu iliyowafanya team nzima ya Weusi kampuni kuja na wazo ambalo kama watanzania wote wenye nafasi watakuwa na mawazo kama hayo,elimu nchini itakuwa kwa level zingine kabisa
TEENTZ Exclusive imezungumza na msemaji wa Weusi,Nick wa 2 na kufunguka mpango mkubwa walionao wa kuanzisha NGO itakayojihusisha na kusaidia wanafunzi wa secondary kuongeza kiwango chao cha ufaulu
"Utaitwa "KIJIJI MAARIFA"Tunatalajia mpango huu uanze mwishoni mwa mwezi wa sita,kila kitu kiko kama tulivyopanga,na lengo kubwa ni kusaidia wanafunzi wa secondary katika swala zima la kuongeza kiwango cha ufaulu na pia kuondoa dhana ya kusoma kwa…

Posted by Teen Newz on May 24, 2013 at 12:38am 0 Comments 0 Likes
Posted by Teen Newz on May 23, 2013 at 1:30am 2 Comments 0 Likes
Mengi yamekuwa yakisemwa juu ya msanii ambae inaaminika ndiye mfalme wa muziki wa bongo fleva Wapo wanaosema anatumia nguvu za giza ikiwemo ushirikina na wapo wanaosema yuko powered na Imani ya Free mason ingawa TEENTZ tunaamini juhudi na kujituma ndiyo njia pekee ya mafanikio kwa chochote TEENTZ ilipiga story na Diamond na kueleza moja ya sababu kubwa why yuko juu na na kila siku ananendelea kuwa juu tofauti na baadhi ya wanamzki wengine
1-"Mungu ndio kila kitu kwa maisha ya binadamu,so napenda kumtanguliza Mungu kwa kila nikifanyacho"
2-"Sipendi starehe,kutumia pesa…

Posted by Teen Newz on May 23, 2013 at 12:00am 0 Comments 0 Likes
Ni kama mziki wa makundi East africa unaendelea kuonyesha umetushinda,we all know Camp Mullah,kundi la mziki toka kwa Uhuru Kenyatta lililofanya poa sana last year mpka kupelekea kupata chance ya kwenda kuwania tuzo kubwa za BET,na watu kuamini kua amekuja mkombozi wa kuupeleka kimataifa mziki wa Kenya na East afrika but confermed story toka area 254 zinasema kuwa kundi hilo limevunjiaka baada ya members wawili kujiondoa
Miss Karun
Anaitwa Miss Karun na alifahamika kama malikia wa kundi na walimtegemea…

Posted by Teen Newz on May 22, 2013 at 7:04pm 0 Comments 0 Likes
© 2013 Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.