
Nyota wa muziki wa kizazi kipya kutoka ‘kruu’ ya Tip Top Connection yenye maskani yake pande za Manzese jijini Dar es Salaam Abdul Abubakar Chende ‘Dogo Janja’ ametupiwa virago ndani ya kundi hilo.
Akizumngumza na Teentz .com mapema leo kiongozi wa kundi hilo Hamad Ally ‘Madii’ amesema kuwa Dogo Janja ameshindwa kuendana na makubaliano halisi yaliyokuwepo baina yake na uongozi wa kundi hilo ikiwemo kuhudhuria shuleni kama alivyokuwa akitakiwa kufanya kila siku badala yake amekuwa akiendekeza starehe na wakati mwingine kufanya mambo ambayo kwa namna moja ama nyingine yalikuwa yanalichafua kundi hilo.
“Tumemkabidhi kwa kaka yake mapema leo tukiwa maeneo ya Ubungo tayari kwa safari ya kurudi kwao na wakati huo tulifanya mawasiliano na baba yake kumuarifu kuwa Tip Top hatuko na mwanae kwa sasa” alisema Madii
Katika hatua nyingine Madii amesema kuwa Dogo Janja alilewa sifa na kujisahau kufanya yale anayotakiwa kufanya ndani nanje ya kundi kufuatia mafanikio ya muziki aliyoyapata akiwa na Tip Top Connection kwani hivi karibuni alitega shule na kwenda kujificha nyumbani kwa TundaMan hukua akimuaga Madii kuwa anakwenda shule.
Kuona hivyo TundaMan aliamaua kumuarifu Madii na mara moja kiongozi huyo wa kundi aliamua kwenda kumsaka, lakini baada ya dogo Janja kugundua kuwa Madii anakuja aliamua kukimbia na kwenda kujificha uchochoroni lakini akiwa huko mafichoni bahati mabaya alikanyaga kuku na siri yake kujulikana kuwa amejificha hapao ndipo alipokamatwa na kuamriwa kufungasha kilicho chake tayari kurejea ‘kileji’.
"vimekuwa ni vitendo vya kila mara kukacha kuhudhuria shule, tumechoka na hatukuwa na njia nyingine ya kufanya alisema Madii'
….Stori by Dismas Ten……
Comment
Comment by Edwin Gailanga on June 26, 2012 at 12:06am
Comment by angela sijale on June 17, 2012 at 2:36am na huo umri wake ni starehe gani aliokua akiifanya huyu mtoto..!!! ka
???
Comment by Pancras Suday on June 16, 2012 at 10:08pm Duh! acha atangulie kileji, shule muhimu bhana inakuuwaje dogo anatega shule
Comment by jonawyne on June 16, 2012 at 6:21pm safiii ndi dawaaa
Comment by raphael bihemo on June 16, 2012 at 4:39pm Advice kwa dogo janja popote alipo, keshakanyaga kinyesi, hawezi kuukata mguu bali kuusafisha na kuwa makini, shule kwanza starehe baadae. dat wat's up.
Comment by Praygod Fadhili on June 16, 2012 at 12:10pm
Comment by win paul on June 15, 2012 at 3:07am Dah madee a tink twic bwana,,,so sry 4 dogo janj
bt ac gvup bhana w stil nid him in d' game
Comment by Successor Dér Führer on June 13, 2012 at 10:23pm Akajifunze kwanza tabia na kuishi powa na watu, ajue umaarufu ni mzigo wa miba ukiubeba unaumia.
Comment by dennis mrosso on June 13, 2012 at 9:25pm
Comment by Bragatwice on June 13, 2012 at 7:56pm Added by jenry jeny on May 17, 2013
Added by tanjin tareq on May 18, 2013
© 2013 Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.
You need to be a member of TEEN TZ to add comments!
Join TEEN TZ