TEEN TZ

Serengeti Fiesta 2012 Yaitikisa Singida

Pichani kulia ni Dj Zero akiwa amepozi mtangazaji wa kipindi cha XXL,wote wafanyakazi wa Clouds FM wakishoo love usiku huu kwenye tamasha la Serengeti Fiesta 2012 ndani ya viwanja vya Singida Motel.

Rich Mavoco akiwaimbisha mashabiki wake waliofika kwenye tamasha la Serengeti Fiesta usiku huu,ambapo wakazi wa mji huo wamejitokeza kwa wingi kuwashuhudia wasanii mbalimbali wanaotumbuiza kwenye tamasha hili.

Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Shillole akijimwaya mwaya jukwaa mbele ya umati wa wakazi wa mji wa Singida (hawapo pichani),usiku huu.

Umati wa mashabiki waliojitokeza kwenye tamasha la Serengeti Fiesta 2012 pande za Singida

Views: 453

Tags: 2012, Fiesta, Serengeti, Singida, Yaitikisa

Comment

You need to be a member of TEEN TZ to add comments!

Join TEEN TZ

Comment by Burton Bidya on September 13, 2012 at 2:16pm

bhaaaaaaaaaaaaasssssssssssssss

G5 CLICK - LATEST NEWS

Video za utengenezaji wa video ya mwisho aliyoonekana Marehemu Ngwea South Africa.

Hiphop staa wa Tanzania Albert Mangweha alifariki dunia akiwa Afrika Kusini May 28 2013 ambapo mpaka sasa chanzo cha kifo chake hakijajulikana na siku…


TOP PHOTOS

1. 4.u

Added by Rita on June 16, 2012

2. Vennessa1

Added by Bestizzo Blogger on June 17, 2013

3. Wema Sepetu 1

Added by Bestizzo Blogger on June 16, 2013

 

© 2013   Designed & Developed by G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service